Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Nitajie kitu moja ambayo Mwanza inashindia MombasaUhehehhehehehhe toka na hapa basi tuone ww mwanaume 😅😅 maneno mengi yatasaidia nn
Nitajie kitu moja ambayo Mwanza inashindia MombasaUhehehhehehehhe toka na hapa basi tuone ww mwanaume 😅😅 maneno mengi yatasaidia nn
Clovercleaf iko na maajali kivipi tenaHizo zina ajali hizo sio kitoto, yn ma interchange ya style hyo ni most dangerous, kule ulaya wameachana nayo hayo, nashauri GoT isijenge ya design hyo.


Ni old model na pia ni moja kati ya interchanges hatari kabisa au hutaki.Clovercleaf iko na maajali kivipi tena
Mbna mzee hujui kujitetetea jamani..
Si mara ya kwanza ulisema ni old model
Ukitaka twende unavyktaka wewe tutaenda tu..
![]()
The Origin Of The Cloverleaf Highway Interchange
In November 1931, the Engineering News-Record reported on the first cloverleaf highway interchange in the U.S. Located in Woodbridge, NJcreedla.com



Heheheh!!kila kitu kina origin yakeNi old model na pia ni moja kati ya interchanges hatari kabisa au hutaki.






Footbridge Ni muhimu,hizo bus naeza ishi bila kutumia but footbridge hutumika Sana na kila![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hyo barabara ya kwanza buda ni gani, mbona km siijui hivi..
So far in Kenya, Four, three level interchanges are under constructionI can't wait for the expressway completion 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Ivi unajua sababu ya kujengwa mundo huo wa interchange miaka ile ya 1900s ? Na uko kutamba apaSuch kind of roads huwezi pata Tz yote imagine
View attachment 1678894View attachment 1678895View attachment 1678891View attachment 1678892





poor youNa ndio nilikuwa namwambia anajisifia na uchafu wa 1900s na tuko 2021
![]()
The Origin Of The Cloverleaf Highway Interchange
In November 1931, the Engineering News-Record reported on the first cloverleaf highway interchange in the U.S. Located in Woodbridge, NJcreedla.com




Km hujui maana ya origin mnyamaze jamaniNa ndio nilikuwa namwambia anajisifia na uchafu wa 1900s na tuko 2021![]()


The best 007 mi lazima we jamaa nikupe somo, siwezi kubali kukuacha ukiwehuka kisa hujui banaView attachment 1678941View attachment 1678942
Kweli kingereza balaa, hivi old model na origin yanawashinda wanalumumba kuyangamuaIvi unajua sababu ya kujengwa mundo huo wa interchange miaka ile ya 1900s ? Na uko kutamba apapoor you


aisee hiyo median section mbona ipo kijuakali namna hiyo?Foot bridge,at the entrance of Thika Town
View attachment 1678803
Sizungu mzii origin pimbi...na rudia swali unajua sababu ya kujengwa kwake? Alafu ujue cable stayed bridge za miaka iyo uwezi fananisha na za sasa ziko more dvloped, ila izo ushuzi wa clover leaf haujabadilik hataKm hujui maana ya origin mnyamaze jamani
Hta nyie mnajitapa na daraja la suspension ambalo ni la tangia karne ya 15..
Tutaelewana tu




.walio anzish wenyew wanazibadilish nyie mpo meganda 1900sWw lialia tu km wazim ..ila ukweli ni kwamba mko 1900s kuanzia interchanges zenu mpka flyoversKweli kingereza balaa, hivi old model na origin yanawashinda wanalumumba kuyangamua![]()


..