Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo zina ajali hizo sio kitoto, yn ma interchange ya style hyo ni most dangerous, kule ulaya wameachana nayo hayo, nashauri GoT isijenge ya design hyo.
Clovercleaf iko na maajali kivipi tena
Mbna mzee hujui kujitetetea jamani..
Si mara ya kwanza ulisema ni old model
 
Kwa Jirani kumenoga
Screenshot_20210116-134435.jpg
 
Ujue Kenya bado wapo kwenye denial (kukataa) kuwa Tanzania is growing very very fast. Tanzania inawekeza kwenye miradi mingi ya kimkakati na hii ndo game changer.

Kenya naifananisha na Marekani kipindi alipokuwa in denial ( kukataa) kuwa China is rising very fast, kuja kustuka China ishapiga nchi zote za Europe na yupo nyuma yake USA na anakadiliwa kuwa atapitwa kiuchumi na China kwenye miaka michache ijayo apa ndo akaanza kuweka propaganda zake.
 
Mombasa rural is getting new roads
I can't wait for the expressway completion 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
So far in Kenya, Four, three level interchanges are under construction
 
Na ndio nilikuwa namwambia anajisifia na uchafu wa 1900s na tuko 2021
Km hujui maana ya origin mnyamaze jamani
Hta nyie mnajitapa na daraja la suspension ambalo ni la tangia karne ya 15..
Tutaelewana tu
 
Km hujui maana ya origin mnyamaze jamani
Hta nyie mnajitapa na daraja la suspension ambalo ni la tangia karne ya 15..
Tutaelewana tu
Sizungu mzii origin pimbi...na rudia swali unajua sababu ya kujengwa kwake? Alafu ujue cable stayed bridge za miaka iyo uwezi fananisha na za sasa ziko more dvloped, ila izo ushuzi wa clover leaf haujabadilik hata .walio anzish wenyew wanazibadilish nyie mpo meganda 1900s
 
Back
Top Bottom