Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
noma sana
Wakati nikiwa mdogo nilizoea kuona Wachina wafupi wafupi ila hawa wachina wakileo ni warefu hasa, sijui wanakula nini siku hizi?
noma sana
Eldoret is the fifth largest town in Kenya. How you think it doesn't deserve an interchange considering the number of vehicles there only baffles me!je mmejenga interchange eldoret kwa matntik gani..?
(a).mahitaji
(b)fashion
je ilideserve hiyo sehemu kuwa na interchange?...
poor kenyan plan![]()
Kwa kupima papai na mbuzi? 😂 😂Watz ndiyo mababa wa science hapa EA na ndiyo maana hata covid ilimalizwa ki science ya Tz kwisha.
Huwa nacheka sana kuona mdanganyika amekazana kucompare Mwanza with Mombasa. Na ako tu serious! Mombasa is ahead of Mwanza in everythingThe future of East coast of Africa is Mombasa , forget about the slumpolis.
View attachment 1678284View attachment 1678285
View attachment 1678286
Kwa hivyo hiyo barabara ipo Mwanza?Buhongwa, Usagara, Kishiri ni sehemu zipo Mwanza!
Sisi sisi ng'eng'eng'e! Hata sisi tuna the only 3 level interchange in the region!Sisi tuna interchanges nyingi sana. Zaidi ya kumi. Hata Eldoret ina clover-leaf interchange. Nyinyi saa hii ndio mnaingia kwa haya mambo.
If those are ugly, what do we call this one in Pugu?Ugly features. Utafikiri mijengo ya Kisoviet
Mturuki amezamisha meli!? 😂 😂Watuuueee....
Mchina katafutwa aje aokoe jahaziView attachment 1678058View attachment 1678061View attachment 1678063View attachment 1678065View attachment 1678066
Can you define what a three-level interchange isSisi sisi ng'eng'eng'e! Hata sisi tuna the only 3 level interchange in the region!
Wewe huna shukrani. Wewe huoni kwamba atleast tumepea hao watoto wa Somalia madawati na chakula ilhali hapa Kenya bado kuna baadhi ya mashule ambayo hayana madawati au chakula ya kutosha? Kuna mashule ya Kenya ambayo yanadeserve hayo madawati zaidi. So atleast KDF wameingia mfukoni mwao na kusaidia raia wa nchi nyingine free of charge bila malipo. Hilo limetosha kuwapa hongera sio kukejeli madawati.haya madawati mbona yanakaa mabaya namna hiyo? jeshi limetumia mabanzi?
Wakati nikiwa mdogo nilizoea kuona Wachina wafupi wafupi ila hawa wachina wakileo ni warefu hasa, sijui wanakula nini siku hizi?


Noma sana .noma sana
It is scientifically proven kwamba kuna direct correlation between animal protein intake na height of an individual. Yaani societies ambazo watoto wao wanakula nyama na kunywa maziwa tangu wakiwa wadogo huwa inafanya watoto hao kuwa warefu wanapokua wakubwa. Halafu height inazidi kuongezeka kila generation. Mfano mzuri ni nchi ya Netherlands ambao watu wao walikuwa average height 100 years ago lakini walipo-increase animal protein intake basi height yao imeongezeka sana in less than 100 yearsWakati nikiwa mdogo nilizoea kuona Wachina wafupi wafupi ila hawa wachina wakileo ni warefu hasa, sijui wanakula nini siku hizi?
hebu kuwa muwazi tu hiyo town naijua kiasi nimewahi kaa 1week na sehemu ya interchange naipata vyema 5th town si kitu rudi kwenye point ya msingi,,,,,,Eldoret is the fifth largest town in Kenya. How you think it doesn't deserve an interchange considering the number of vehicles there only baffles me!

Study nzuri sana hii, ntaendelea kuifuatilia kiundani zaidi hasa ukizingatia wamasai huwa ni warefu kulinganisha na makabila mengine.It is scientifically proven kwamba kuna direct correlation between animal protein intake na height of an individual. Yaani societies ambazo watoto wao wanakula nyama na kunywa maziwa tangu wakiwa wadogo huwa inafanya watoto hao kuwa warefu wanapokua wakubwa. Halafu height inazidi kuongezeka kila generation. Mfano mzuri ni nchi ya Netherlands ambao watu wao walikuwa average height 100 years ago lakini walipo-increase animal protein intake basi height yao imeongezeka sana in less than 100 years