tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Ubungo footbridgeLeteni picha za footbridge za Dar. Kusema ukweli mimi sijawahi kuziona.
The best 007 leta picha za footbridge. Weka atleast mbili ndio tujue kwamba ni ukweli.
Ubungo footbridgeLeteni picha za footbridge za Dar. Kusema ukweli mimi sijawahi kuziona.
The best 007 leta picha za footbridge. Weka atleast mbili ndio tujue kwamba ni ukweli.
Ninyi mijitu ni mishamba sana, Tanzania haijengi miundombinu bila kuwa na umuhimu wa kuujenga, miundombinu inajengwa in accordance with the need of itLeteni picha za footbridge za Dar. Kusema ukweli mimi sijawahi kuziona.
The best 007 leta picha za footbridge. Weka atleast mbili ndio tujue kwamba ni ukweli.
Ubungo footbridgeView attachment 1678683
Ninyi mijitu ni mishamba sana, Tanzania haijengi miundombinu bila kuwa na umuhimu wa kuujenga, miundombinu inajengwa in accordance with the need of it
Hii ni Mwanza
View attachment 1678732View attachment 1678733View attachment 1678734View attachment 1678735View attachment 1678736View attachment 1678735
Na lipo la Mbezi Luis Terminalagoogle
1. Manzese bridge
2. Morocco bridge
3. Ubungo bridge
4. Kimara mwisho bridge
5. Tangibovu bridge
6. Bugurun bridge
7. Mbezi mwisho bridge
8. Mbezi-Kibaha highway bridge (lipo upande wa Dar)
hizo ni za Dar tu
Huu ni upuuzi wa hali ya juu yaani tuanze kujitamba na footbridges na tu-ignore the real bridge!Leteni picha za footbridge za Dar. Kusema ukweli mimi sijawahi kuziona.
The best 007 leta picha za footbridge. Weka atleast mbili ndio tujue kwamba ni ukweli.
Kiko kule Hombolo nmewahi kukiona ni kizuri sanaLocal Governments Training Institute Dodoma
View attachment 1678760View attachment 1678761View attachment 1678762View attachment 1678763View attachment 1678764View attachment 1678765
Nilijifunza ni kwamba Kunyaland nzima wanaasili ya sifa za kijinga walizolisishwa na Kenyatta, ndo mana huwa wanaingia madeni ili mradi waonekane na wao hawako nyuma.Hua wanajenga ovyo ovyo ndio maana leo madeni yanawatesa sasa ww niambie ile overpass ya kisumu inauhitaji gani???![]()








Lkn sisi tumekausha tu mpk wanamuongelea waoYaani hii ya Mpemba effect angekuwa ni mkenya, wangemuongelea kweli.




Nyinyi huwa mkishindwa mnaanza kusema eti sisi ni watu wa sifa.Nilijifunza ni kwamba Kunyaland nzima wanaasili ya sifa za kijinga walizolisishwa na Kenyatta, ndo mana huwa wanaingia madeni ili mradi waonekane na wao hawako nyuma.
Wakati mwingine huwa wanachekesha sana, utakuta wamejenga tunnel road sehemu ambayo ni tambarare hahahahaaaaa![]()
Asante kwa kuja mkuu, zipo nyingi mno hz ni baadhi tuLeteni picha za footbridge za Dar. Kusema ukweli mimi sijawahi kuziona.
The best 007 leta picha za footbridge. Weka atleast mbili ndio tujue kwamba ni ukweli.




Pale Mbagala pia inajengwa kaliiagoogle
1. Manzese bridge
2. Morocco bridge
3. Ubungo bridge
4. Kimara mwisho bridge
5. Tangibovu bridge
6. Bugurun bridge
7. Mbezi mwisho bridge
8. Mbezi-Kibaha highway bridge (lipo upande wa Dar)
hizo ni za Dar tu



Ameshapewa sindano zake ata ivyo, lkn tatizo la Tony atakuja kusahau km alishaoneshwa so tegemea kuulizwa tena hilo swali toka kwa TonyHuu ni upuuzi wa hali ya juu yaani tuanze kujitamba na footbridges na tu-ignore the real bridge!






Huyu Tony254 anatafuta pa kujishika tangu ni-post mradi wa interchange Mwanza maana anajua itajengwa kuunganisha na daraja la Busisi-Kigongo! Siku hizi hawathubutu kuilinganisha Mwanza na Kisumu!Ameshapewa sindano zake ata ivyo, lkn tatizo la Tony atakuja kusahau km alishaoneshwa so tegemea kuulizwa tena hilo swali toka kwa Tony![]()
Foot bridge,at the entrance of Thika TownA foot bridge on Thika road at Garden City. I heard that Dar has foot bridges, is it true?? I never saw one when I was there in 2018
View attachment 1678637
Ziko mzee za concrete,,1900 fashion 🤣🤣🤣A foot bridge on Thika road at Garden City. I heard that Dar has foot bridges, is it true?? I never saw one when I was there in 2018
View attachment 1678637