babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Endelea kuota.Currency yenu inazidi kuporomoma kila kuchao jomba acha kujifariji
Endelea kuota.Currency yenu inazidi kuporomoma kila kuchao jomba acha kujifariji
Cut the bullshit compare your currency to Zimbabwe only not Asia !sikiliza nugu kizibo.
hizo sifuri nyingi zisikuvuruge,unaona ulivyochanganyikiwa sasa.
tumekuwekea japan,korea,iraq humo humo tunakujaza na singaporeyawaaaa na sarafu yako ya maua,chaali.unalipukiwa na bomu ulilolihifadhi mwenyewe mvukoni
.
An intellectual dwarf posting nonsense,sounds like an electrocuted brain !Currency ya Tanzania in Purchase power kubwa kuliko fedha ya Kenya hili halina mjadala...
Chakula cha TZS 5000 hapa Tanzania Kenya wanauziwa KSH 2500...
Mkenya anayepisha kuwa Wakenya hushindia Chapati moja na Maharage ya KSH 80 anijibu
Cut the bullshit compare your currency to Zimbabwe only not Asia !


ungekasirikia maisha yako namna hii,saa hii hata ungekuwa na mansion moja hapo karen,ukipishana na wazungu
.Another one down
Today 12 Jan 21, mid-morning, a Kenya Air Force aircraft, model Harbin Y-12, crashed in Voi, Taita Taveta County. The aircraft was from Moi Air Base, Eastleigh, Nairobi. Recovery efforts are underway.


aisee.Really! Your ignorance is a source of humour.ungekasirikia maisha yako namna hii,saa hii hata ungekuwa na mansion moja hapo karen,ukipishana na wazungu
.
Kuna mtu alisema kila baada ya miezi mitatu chumachakavu kinadondoka huko Kunya. Alisema ngoja tuone mwezi wa kwanza kama utaisha. Sasa yametimia.Zimebaki ngapi?View attachment 1675670
Kwani uwongoAn intellectual dwarf posting nonsense,sounds like an electrocuted brain !
I've been in Kenya... Mkenya mwenye uwezo wa kula ugali na nyama ni tajiri kwa fedha yenu,Hatuko asia
Afrika elfu kumi ni hatari
Ndio nimekuambia hiyo inatumiwa mpaka leo, kama una ushahidi kua haitumiki leta hapaKwhyo picha ya noti ndio imeshamaliza km inatumika mpka sasa
Akili za kibongo jamani, na mimi je nikikuletea noti ya elfu moja ya kenya ile ya zamani nitakua nimethibitisha km bado ipo
Kwa hiyo Africa Hakuna note ya 10k au sielewi una maana gani?Elfu kumi kw bara la asia ni jambo la kawaida sana inaonyesha, ndio manake zi tele..
Kwhyo usilinganishe uchumi wa asia unavyokwenda na afrika, afrika km una noti ya elfu kumi wewe huna tofauti na mini-zimbabwe![]()
Sasa unajifanya hukuelewa sio, mbona mnapenda kupindishapindisha vitu hivi..Kwa hiyo Africa Hakuna note ya 10k au sielewi una maana gani?
Kwn wewe umekosa ushahidi wa kuonyesha ya kwamba inatumika..Ndio nimekuambia hiyo inatumiwa mpaka leo, kama una ushahidi kua haitumiki leta hapa
Hahaha!!jitoeni ufahamu tuEndelea kuota.
Kuna friend wangu alifanya electrical engineering without doing physics in form 3&4. Don't ask me how cause I don't know how he managed to do it![]()
Anayejitoa ufahamu ni wewe unayelazimisha mawazo yako yawe ukweli.Hahaha!!jitoeni ufahamu tu
Hapo vipi?Sasa unajifanya hukuelewa sio, mbona mnapenda kupindishapindisha vitu hivi..
We si uangalie kwanza nchi nyingi za afrika ambazo zina 10k huaga zipoje
Kwa Tz haiwezekani hiyo na ndiyo maana tunasema elimu yetu ni ngumu sana, thus y wapo Watz wanakimbilia huko kwenu mana urahisi km huo hawawezi kuupata huku.
Kwahiyo hiyo note imechapwa sababu ya pambo? Unajielewa kweli?Kwn wewe umekosa ushahidi wa kuonyesha ya kwamba inatumika..
Manake mleta mada aliposema wewe ulipinga, so unapaswa kufanya research kivyako uepukane na aibu