The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Kwn nani uyo.huyo jamaa katrend sana
Kwn nani uyo.huyo jamaa katrend sana






















































Mkuu acha hzo,jiji letu limejengwa hivyo na wachuuzi,Nairobi wamejengewa.....Acha watu watafute riski as long sio kudumu hapo.View attachment 1675800
I Love Dar, its my city lakini tumekuwa wachafu mno, we are killing this city, huwezi ukawa na vitu namba hii downtown. Its time we change and give pride with our cities. Haya mambo ya hovyo kwa lugha ya wanyonge should end. We need proper cities, smart cities.















Umetisha Mkuu,


Wakenya ni wanachekesha sana mkuu, eti wanataka kushibdana na Tz, ss huwa najiuliza wanawezaje kupata ujasiri wa kushindana na sisi wkt wao wana shida mingiUmetisha Mkuu,![]()














Safari hii watakiona cha Moto🤣🤣🤣🤣Leo niko hapa mpk saa 9 usiku now naangalia game ya man u ss atokeze mkunya yyte anayejiona anaweza ku battle twende kazi![]()
Unajua kwnn currency ya zambia ipo strong, kuna factors nyingi sana za currency kuwa weak au strong..Okay ngoja nikupe unazotaka. Tatizo lenu wengi wenu hamna masomo (especially you honey), that's only exchange rate darling..
haya Zambia na Mozambique wana curency extremely stronger than Kenyas.
View attachment 1675916View attachment 1675917
Ww demu wacha ufala unaambiwa pesa ya Zambia na mozambique zina thamani kuliko yenu lkn mmezizidi gdp hzo nchi haya tuambie 7bu.Unajua kwnn currency ya zambia ipo strong, kuna factors nyingi sana za currency kuwa weak au strong..
Na hzo factors hunda ki continent, angalia kwanza historia yao hao majamaa kuhusu currency zao then urudi hapa..
Lkn kw tanzania ni different story, tsh ni kuporomoka inaporomoka
Jibu lako hili hapa


Unajua kwnn currency ya zambia ipo strong, kuna factors nyingi sana za currency kuwa weak au strong..
Na hzo factors hunda ki continent, angalia kwanza historia yao hao majamaa kuhusu currency zao then urudi hapa..
Lkn kw tanzania ni different story, tsh ni kuporomoka inaporomoka
hata hasomeki katokea tokea tu mitandaoni huyo mwamba ukiiiona tu picha unaipa caption kwa juuKwn nani uyo.

Soma hapo kidogo ndiposa utaelewa kwnn kuna nchi ndogo ambazo currency ipo strong na kubwa zingine ambazo currency ipo weak..Ww demu wacha ufala unaambiwa pesa ya Zambia na mozambique zina thamani kuliko yenu lkn mezizidi gdp hzo nchi haya tuambie 7bu.


