komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Uchapa kazi hyo ndio taswira yetu tokea kitambona mfanye kazi kweli kweli maana bila kuwa punda kenya wafwaaaa.
Uchapa kazi hyo ndio taswira yetu tokea kitambona mfanye kazi kweli kweli maana bila kuwa punda kenya wafwaaaa.
usiogope basi,maana note ya 10k iko hapo for 25yrs now.Uchumi wenu huo wakati sio ndio ulikua umeshaanza kuporomoka kw kasi ya 4G baada ya kuomgeza kw mda flani
Niogope nnusiogope basi,maana note ya 10k iko hapo for 25yrs now.


kazi mtachapa nayo nani sasa na mmeanza kiburi!!!Uchapa kazi hyo ndio taswira yetu tokea kitambo



kwahiyo unataka kusema note yenu ya 1k ina muda ganiNiogope nn
Note yetu ya 500 ndio imekaa hyo miaka..
Na msipojishtukizia mnaporomoka


.Kenya ndio nchi pekee ukanda huu ambayo haijapigana vita vya kiserekali na nchi yytekazi mtachapa nayo nani sasa na mmeanza kiburi!!!
kila nchi mnagombana nayo,mpaka sisi kaka zenu tunaowaweka mjini mnatufanyia ujiaji![]()


Haijafikisha 25yrskwahiyo unataka kusema note yenu ya 1k ina muda gani.
kumbe democrasia ni kutopigana vita ya mipakaKenya ndio nchi pekee ukanda huu ambayo haijapigana vita vya kiserekali na nchi yyte
Kwhyo bado sisi ndio baba wa demokrasia ukanda huu, tuna mbinu zote za kuwa tune na kuwarudisha katika hali ya kawaida..
Nyie ni wale zetu bana


,basi sawa.na unasema nani anaelekea zimbabweHaijafikisha 25yrs


.
.Concept of economics is universalUache kulinganisha vitu kutoka continent tofauti..
Muda mrefu sana walikuwa wanatumika km tissue msalani,kupitishia propaganda za kibepari,walisifiwa sana kumbe ni Umavi mtupu.Kunyaland a.k.a shit holeWakenya wako desperate sn, ila na sisi tunaenda nao hivyo hivyo wanavyotaka wao cz tangu tuwazd wamekuwa km wehu![]()
Hahahaha mbona Japan Yen umemute?Only ignorant clowns don’t know SINGAPORE stop issuing 10000 denomination notes in 2014 and 1000 note in Nov 2020,Iraq is a failed state!How much in loans has tz given to another country coz you think larger denominations is a sign of wealth?you are a mini Zimbabwe!
Nope, nani kakudanganya..Concept of economics is universal
Zimbabwe mtaifikia soon tuna unasema nani anaelekea zimbabwe.
comora096 ni heri uchunge ulimi wako.


Hii issue tulishaimaliza unataka tuanze tena!?
Above 25F
TPA |40F
PSPF Tower A|35F |
PSPF Tower B|35F |
Mzizima Tower Office |35F
Mzizima Tower Residential|33F|
PPF HQ |40F|
MNF Tower 1 |32F |
MNF Tower 2 |32F |
Uhuru Media Tower |32F|
Rita Tower |30F |
Millenium Tower II|30F |
NHC Morocco Square Tower 1|30F|
NHC Morocco Square Tower 2|30F|
NHC Golden Anniversary Building |26F|
Umoja wa Vijana Complex Tower 1| 25F |
Umoja wa Vijana Complex Tower 2| 25F |
Uhuru Heights | 25F |
NHC Morocco Square Tower 3|25F|
Kwhyo wikipedia ndio source yakoHahahaha mbona Japan Yen umemute?
Na aliekuambia Singapore wameacha a na matumizi ya 10k notes ni nani?
View attachment 1675672
haiwi rahisi namna hiyo.Zimbabwe mtaifikia soon tu![]()
Kama tulishindwa kuifikia 70s tulivyotoka kuipiga Uganda...sasa hivi ndio unadhani tutaifikiaZimbabwe mtaifikia soon tu![]()


