Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio mnaambiwa Kenya bado Sana tukiweka vitu kwenye uhalisia unakuta nyie ni watu maneno mengi lakin sufuri kwenye vitendo muulize mwenzako mwenye kulinganisha sarafu ya Zimbabwe na bongo alafu upate jibu ya kwa nini tumetoa huo mfano
Kalinganisha kwa sababu ya mazingira si yanaendana tu, yani tz inapita mle mle zimbabewe alipopitia enzi zile..

Sio biashara, kiuchumi, currency uongozi wa kiboya..
Yani mbona nchi zinaendana tu na zipo afrika
 
Kalinganisha kwa sababu ya mazingira si yanaendana tu, yani tz inapita mle mle zimbabewe alipopitia enzi zile..

Sio biashara, kiuchumi, currency uongozi wa kiboya..
Yani mbona nchi zinaendana tu na zipo afrika
uongozi wa kiboya unakuchanganya wewe zaidi ya watz wenyewe,hujioni na tatizo kichwani!!!!!
 
hapa tulikiwa tunaijadiri thamani ya pesa ya kenya
kwahiyo tunaiweka na nduguze akina yen na won.
Thamani ya pesa ya kenya inaendana na mazingira ya afrika tu
Mwnywe alipotutenganisha ki continent ilikua anajua tayari km kila watu wana yao..

Kwhyo sisi na asia hatuingiliani kabisa tokea kimifumo
 
Only ignorance clowns don’t know SINGAPORE stop issuing 10000 denomination notes in 2014 and 1000 note in Nov 2020,Iraq is a failed state!How much in loans has tz given to another country coz you think larger denominations is a sign of wealth?you are a mini Zimbabwe!
sikiliza nugu kizibo.

hizo sifuri nyingi zisikuvuruge,unaona ulivyochanganyikiwa sasa.

tumekuwekea japan,korea,iraq humo humo tunakujaza na singaporeyawaaaa na sarafu yako ya maua,chaali.unalipukiwa na bomu ulilolihifadhi mwenyewe mvukoni.
 
sikiliza nugu kizibo.

hizo sifuri nyingi zisikuvuruge,unaona ulivyochanaganyikiwa sasa.

tumekuwekea japan,korea,iraq humo humo tunakujaza na singaporeyawaaaa na sarafu yako ya maua,chaali.unalipukiwa na pomu ililolihifadhi mwenyewe mvukoni.
Sufuri nyingi kw mazingira ya afrika ni hatari sana
Yani nyie mnaenda kuwa mini zimbabwe soon..
Afrika sio asia
 
siwatetei,swala langu mimi,ni wewe kuumizwa na utawala wa tzhow!!!!!
Unateseka ukiwa wapi mwenzangu, manake naona hko mini-ZIM ni kunoma sana..
Anytime mkuu wa mkoa anakuoa zako za matako km kumi hivi
 
Thamani ya pesa ya kenya inaendana na mazingira ya afrika tu
Mwnywe alipotutenganisha ki continent ilikua anajua tayari km kila watu wana yao..

Kwhyo sisi na asia hatuingiliani kabisa tokea kimifumo
heeeeeee,jamani.

haya mwaya twende hapa

ksh=0.14 egy
ksh=0.14 SA
ksh=3.61 naira

embu niambie umeelewa nini hapo???
 
Unateseka ukiwa wapi mwenzangu, manake naona hko mini-ZIM ni kunoma sana..
Anytime mkuu wa mkoa anakuoa zako za matako km kumi hivi
ni afadhali upigwe sticks na RC ila sio operator wa kichwa cha sgr.
 
Kwn nyinyi na nigeria mna tofauti gani na wakati uchumi wenu unashikiliwa na raw materials

Yani mngelikua uchumi wenu ungelikua unategemea human resource km sisi labda sai mngelikuwa sawa na somalia

na mfanye kazi kweli kweli maana bila kuwa punda kenya wafwaaaa.
 
Back
Top Bottom