Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Glass tatu za bluu ndio so much better? Be serious sometimes.
Modern skyscrapers. Hebu jaribu kuweka buildings kama hizi very beautiful.

Kenya bado sana
12393764_images41_jpeg_jpeg93b23b702f028a82ef952164a1842de9.jpeg
12395034_images42_jpeg_jpegcd2bafc8a09fbf3a3021c9abfd625e04.jpeg
12617290_img20200701164048_jpege8841f06b7c5775e480735d9e8898bc5.jpeg
 
Ndo nmemuuliza kutoka hapo westland mpk Nairobi kuna umbali gn.
Westlands ipo Nairobi. Mimi nasema kuwa Nairobi imegawanywa mara tatu in terms of skyscrapper development. Mbona unajifanya mjinga? Hata London ipo hivyo hivyo kuna Canary wharf
na pia kuna old CBD ya London. Lakini pengine mambo haya hamuwezi kuyaelewa.
 
Za upperhill na Westlands hakuna za cement, ni za glass. CBD nimekuonyesha kuna modern za glass. Wacha kujifanya hujaziona. Rudi nyuma ukazitazame.
Hakuna grassy hapo. Ni udongo kuanzia chini mpaka juu. Farao era design. Kama Egyptian pyramids pwahahaha.
Onesha buildings tatu ambazo ni modern.
 
Westlands ipo Nairobi. Mimi nasema kuwa Nairobi imegawanywa mara tatu in terms of skyscrapper development. Mbona unajifanya mjinga? Hata London ipo hivyo hivyo kuna Canary wharf
na pia kuna old CBD ya London. Lakini pengine mambo haya hamuwezi kuyaelewa.
Acheni kuiga tembo kunya..mtapasuka mapumbu
 
Wadau nina picha moja ambayo imechanganya CBD na upperhill kwa picha moja. Ila kwa bahati mbaya westlands haionekani kwenye hio picha maana westlands iko mbali. Pia kuna majengo ya upperhill ambayo hayaonekani.
Tazama
Upperhill + CBD (without westlands)
View attachment 1674975

Hatari sana apana cheza.
Nyie mna CBD moja pekee sisi tunazo 4
 
Back
Top Bottom