Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona hata Joburg ipo hivyo? Kuna old cbd ambayo ina carlton centre na pia kuna sandton ambayo ina The leonardo? Nyinyi ndio mpo nyuma.
Je huko Kenya kuna elegant buildings kama hizi!?
tapatalk_1590521077592.jpeg
AI6wy1g.jpg
 
Imagine most of them done by a local company , Nchi nyingine haya wanajengewa na mengi yanamilikiwa na nchi nyingine. Remember AVIC is a Chinese state corporation 🤣 . Halafu wako busy kukashifu serikali nyingine kufanya Biashara. wakati ndio zinawatoa kimasomaso. LOL
Jamaa anakifanya kipofu.
 
Imagine most of them done by a local company , Nchi nyingine haya wanajengewa na mengi yanamilikiwa na nchi nyingine. Remember AVIC is a Chinese state corporation 🤣 . Halafu wako busy kukashifu serikali nyingine kufanya Biashara. wakati ndio zinawatoa kimasomaso. LOL
Sasa unajifariji na ownership? Hahaha. Ina tofauti gani hata kama aliens ndio wanamiliki hizi za Kenya?
 
Westlands ipo Nairobi. Mimi nasema kuwa Nairobi imegawanywa mara tatu in terms of skyscrapper development. Mbona unajifanya mjinga? Hata London ipo hivyo hivyo kuna Canary wharf
na pia kuna old CBD ya London. Lakini pengine mambo haya hamuwezi kuyaelewa.
Ss kwahiyo ni CBD moja au unasemaje
 
Watanzania kubalini tu kwamba Nairobi ina maeneo matatu panapojengwa skyscrappers na Dar ina pahali pamoja tu ili mjadala uishe.
 
Ss kwahiyo ni CBD moja au unasemaje
CBD ina boundaries. Ama unadhani mimi ni mjinga? boundary ya CBD ya Kenya ni Haille Selassie avenue kwa upande mmoja, Moi avenue kwa upande mwingine na Uhuru highway kwa upande mwingine. Westlands ipo mbali kidogo na CBD. Yaani lazima upande matatu ndio ufike westlands. Westlands ni kilomita kadhaa, kutoka CBD. Hata ndio maana haikuwa inaonekana kwenye ile picha ya CBD.
 
Sasa unajifariji na ownership? Hahaha. Ina tofauti gani hata kama aliens ndio wanamiliki hizi za Kenya?

Hamjui hata mpo upande upi, Juzi juzi Mkuu Geza kawaumbua, Eti serikali hazifanyi biashara wakati kwenu hadi serikali inamiliki Hotel, BTW, hamjui vitu mpo mpo tu. eti capitalists, My friend ni aibu kujisifia vile eti Business oriented, capitalists, Aggressive yet mnatembelea Kichwa pamoja na waafrica wengine, tena wengine Bora 10 times yenu. kwa sifa mnazojipa mlitakiwa muwe at least league moja na Singapore au South Korea.
Non of my business by the way . Capitalists
 
The kind of headings on newspapers in Kenya when our electric trains arrive,

"South Korea grants Dar locomotives for SGR phase I"
Zikiwa bullet trains za kweli zenye sura nzuri lazima tutahisi wivu lakini zikiwa mtungi wa chang'aa hakuna media yoyote ya Kenya itakayozungumzia hilo swala.
 
Hamjui hata mpo upande upi, Juzi juzi Mkuu Geza kawaumbua, Eti serikali hazifanyi biashara wakati kwenu hadi serikali inamiliki Hotel, BTW, hamjui vitu mpo mpo tu. eti capitalists, My friend ni aibu kujisifia vile eti Business oriented, capitalists, Aggressive yet mnatembelea Kichwa pamoja na waafrica wengine, tena wengine Bora 10 times yenu. kwa sifa mnazojipa mlitakiwa muwe at least league moja na Singapore au South Korea.
Non of my business by the way . Capitalists
Nchi yenu mara dufu kushinda yetu kwa ukubwa. Gdp yetu karibu mara dufu kushinda yenu so yes we are capitalists.
 
Hamjui hata mpo upande upi, Juzi juzi Mkuu Geza kawaumbua, Eti serikali hazifanyi biashara wakati kwenu hadi serikali inamiliki Hotel, BTW, hamjui vitu mpo mpo tu. eti capitalists, My friend ni aibu kujisifia vile eti Business oriented, capitalists, Aggressive yet mnatembelea Kichwa pamoja na waafrica wengine, tena wengine Bora 10 times yenu. kwa sifa mnazojipa mlitakiwa muwe at least league moja na Singapore au South Korea.
Non of my business by the way . Capitalists
Hawa jamaa ni uduvi ni ving'ang'anizi kinoma wanadhani in the US city au states au federal governments hawamiliki hotels ama business centers/towers ama malls ama residential buildings!

Ukiwa na mtu ana-exposure ndogo kama Tony254 there is nothing u can do to change him as exposure yake imeishia Czech Republic of all the places!

Hata kinachoendelea hapo Kenya hajui! It's too sad a CPAK can be this shallow on issues of general investments!
 
Zikiwa bullet trains za kweli zenye sura nzuri lazima tutahisi wivu lakini zikiwa mtungi wa chang'aa hakuna media yoyote ya Kenya itakayozungumzia hilo swala.
Nausitegemee mtungi wa mbege bro,vitakuja vitu ambavyo hamjawahi kuota
 
Back
Top Bottom