President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,793
Tunduma to Mutukula 1,263km ni jibu huu umbali
Huyo jamaa ni chizi si mchezoHahaha. Kwa hivyo nyie mna flyovers nyingi kutushinda? Ona huyu wazimu.
Isiolo to Moyale ilikamilika mwaka wa 2017
Tazama video ya Kenha (Kenya national highways authority) ya 2017
Mzee hapo sio kweli 🙂nimepitia Barabara zenu Sana, mfano Nakuru county kuna sehemu inaitwa kiplong kama sijakosea jina Barabara upande huo ni mtihani kuanzia port holes mpaka upana,kwingine upande wa Rongo sema sahivi kuna mchina kapewa contract kampuni inaitwa China Chico labda atarekebisha,kuja keroka-kisii Barabara haitamaniki,Ayaa nenda muranga kuna shida Tanzania barabara Ni smooth Yani we Acha tu🙂Barabara zetu ni pana kushinda zenu. Wewe sijui unaongea nini.



Tukubaliane kwamba starting point iwe Mombasa (ambayo iko ufuoni mwa bahari) maana naona wewe starting point zako zote ni Dar ambayo iko ufuoni mwa bahari. Tukifanya hivyo basi utatoroka humu maana Mombasa ipo mbali sana na maeneo mengi ya Kenya.Dar es salaam to Mtwara 563km more 63km
View attachment 1674326
Hiyo barabara tumeshaitaja wakati nataja Mombasa to Kisumu. May be anzia kisumu tu Busia. Okay!!?Tukubaliane kwamba starting point iwe Mombasa (ambayo iko ufuoni mwa bahari) maana naona wewe starting point zako zote ni Dar ambayo iko ufuoni mwa bahari. Tukifanya hivyo basi utatoroka humu maana Mombasa ipo mbali sana na maeneo mengi ya Kenya.
Mombasa to Busia ni 940 km
View attachment 1674332
Hapana. Tupilia ya kisumu mbali. Sitaki mchezo. Wacha ya Mombasa - busia ibaki. Hio ya Mombasa - Kisumu tupulia mbali. Sina haja nayo.Hiyo barabara tumeshaitaja wakati nataja Mombasa to Kisumu. May be anzia kisumu tu Busia. Okay!!?
Poa haina shida nijibu nimekuwekea Tunduma to Mutukula 1,263km, Dar to Mtwara 526km and Dar to Tunduma 863kmHapana. Tupilia ya kisumu mbali. Sitaki mchezo. Wacha ya Mombasa - busia ibaki. Hio ya Mombasa - Kisumu tupulia mbali. Sina haja nayo.
Mbona kuna giza sana Dar usiku. Kwani hamna street lights za kutosha? Kwanza hio picha ya pili ni giza tupu.
PhotoshopMbona kuna giza sana Dar usiku. Kwani hamna street lights za kutosha? Kwanza hio picha ya pili ni giza tupu.
Tazameni Nairobi usiku inavyong'aa kama nyota
View attachment 1674349View attachment 1674357









Mkuu ile barabara la Isiolo to Moyale (500 km) pia tupilia mbali maana barabara yenyewe inastahili kuanzia Mombasa. Barabara zangu zote zitaanzia Mombasa.Poa haina shida nijibu nimekuwekea Tunduma to Mutukula 1,263km, Dar to Mtwara 526km and Dar to Tunduma 863km
Sasa Iringa to Namanga via Dodoma 787km
View attachment 1674348
Vipi unakimbia issue ya Roads!?Mbona kuna giza sana Dar usiku. Kwani hamna street lights za kutosha? Kwanza hio picha ya pili ni giza tupu.
Tazameni Nairobi usiku inavyong'aa kama nyota
View attachment 1674349View attachment 1674357
Hizo ni headlights za magari. Nyinyi hata ni kama hamna magari mengi kwenye barabara usikuPhotoshop![]()
Sasa wewe kijana mbona unafanha cheating!? Isiolo to Mayole umeshaitaja.Mkuu ile barabara la Isiolo to Moyale (500 km) pia tupilia mbali maana barabara yenyewe inastahili kuanzia Mombasa. Barabara zangu zote zitaanzia Mombasa.
Ulisema nikujibu, ndio hili jibu ulilokuwa unatafuta.
Mombasa to Moyale ni 1206 km
View attachment 1674361
Hiyo ni tweet ya World Bank? Leo hii World Bank wanaitwa Uwekezaji Tanzania? 😂 😂Cc: Geza Ulole si umewaona WB hao, ila kuna mbwa atakuja kusema Kenya ndo inaongoza, atakuwekea na source yake aliyotengeneza mwenyewe kwisha![]()
Mzee nimeshasema kwamba utupilie mbali Isiolo to Moyale (500 km). Usiihesabu hio. Ndio maana nimekupa Mombasa to Moyale ambayo ni ndefu zaidi 1206 km. Ukihesabu zote mbili ndio itakuwa cheatingSasa wewe kijana mbona unafanha cheating!? Isiolo to Mayole umeshaitaja.
Basi unatakiwa ulete Mombasa to Isiolo.
Hakuna barabara hats moja imejirudia kwangu. Twende vizuri ninafuatilia kwa umakini. Nijibu hiyo yangu ya 1,263km.
Mshikaji anasahau Kenya inaingia Tanzania mara mbili na nusu🙂nisamehe kwa Leo maana hii game haiwezi Ila anajitahidi kuitetea inchi yake😃Sasa wewe kijana mbona unafanha cheating!? Isiolo to Mayole umeshaitaja.
Basi unatakiwa ulete Mombasa to Isiolo.
Hakuna barabara hats moja imejirudia kwangu. Twende vizuri ninafuatilia kwa umakini. Nijibu hiyo yangu ya 1,263km.
WB hio hio ilisema Kenya itagrow at above 6% (fastest in Africa)Cc: Geza Ulole si umewaona WB hao, ila kuna mbwa atakuja kusema Kenya ndo inaongoza, atakuwekea na source yake aliyotengeneza mwenyewe kwisha![]()