Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu mlienae anapika statistics za barabara tu

Asante sana, hii nilikuwa naitafuta sana hii, jamaa tangu tuwa expose kuhusu kupika data za road wamekuwa waoga kabisa kuongelea the network of paved roads, pia wamepika mpk kwenye idadi ya shule ili mradi waonekane wako juu, but ukiwaambia leteni hizo shule tuzione hawana wanakimbilia statistics ambazo serikali yao inaongopa.

Kitu nilichogundua ni kwamba serikali ya Kenya huwa inaongopa kwenye statistics ili kuwaongopea lenders ili ionekane pesa wanazokopa zimefanya kazi but in reality kuna vitu hewa vingi sn ndani ya Kunyaland, ngj siku wapate rais anayejitambua ndo watakapoujua ukweli.

Wakenya wameongopewa kwa muda mrefu sana ila siku wataujua ukweli tuwaombee kwa Mungu tu.
 
Dongo kundu, pilling work of 3km bridge in progress.
12923451_dongokundu2_jpeg7aa4cf03e8d038d28383f5dcf3b372b9.jpeg
12923452_dongokundu_jpeg935d515fd57bae6991df1590522385ac.jpeg
 
Asante sana, hii nilikuwa naitafuta sana hii, jamaa tangu tuwa expose kuhusu kupika data za road wamekuwa waoga kabisa kuongelea the network of paved roads, pia wamepika mpk kwenye idadi ya shule ili mradi waonekane wako juu, but ukiwaambia leteni hizo shule tuzione hawana wanakimbilia statistics ambazo serikali yao inaongopa.

Kitu nilichogundua ni kwamba serikali ya Kenya huwa inaongopa kwenye statistics ili kuwaongopea lenders ili ionekane pesa wanazokopa zimefanya kazi but in reality kuna vitu hewa vingi sn ndani ya Kunyaland, ngj siku wapate rais anayejitambua ndo watakapoujua ukweli.

Wakenya wameongopewa kwa muda mrefu sana ila siku wataujua ukweli tuwaombee kwa Mungu tu.
Kenya 21,000km of paved roads.
Tanzania 9,000km.
 
Asante sana, hii nilikuwa naitafuta sana hii, jamaa tangu tuwa expose kuhusu kupika data za road wamekuwa waoga kabisa kuongelea the network of paved roads, pia wamepika mpk kwenye idadi ya shule ili mradi waonekane wako juu, but ukiwaambia leteni hizo shule tuzione hawana wanakimbilia statistics ambazo serikali yao inaongopa.

Kitu nilichogundua ni kwamba serikali ya Kenya huwa inaongopa kwenye statistics ili kuwaongopea lenders ili ionekane pesa wanazokopa zimefanya kazi but in reality kuna vitu hewa vingi sn ndani ya Kunyaland, ngj siku wapate rais anayejitambua ndo watakapoujua ukweli.

Wakenya wameongopewa kwa muda mrefu sana ila siku wataujua ukweli tuwaombee kwa Mungu tu.
Ni wapishi wazuri wa statistics ngoja nafanya research ya idadi ya wanafunzi kuendana na shule na idadi ya walimu kuendana na hizo shule zao za kupika
 
Ni big deal sana kwenye fishing industry, nafikiri ndio product ya samaki ghali sana kwenye value chain, nawafahamu wafanyabiasha wa bondo tu ambao wapo vizuri mno

Bondo zenyewe ni hizi, zinapimwa kwa gram

View attachment 1673334




Hii ziara tumepiga bao sn, hapo naona lile dege letu la mizigo litakuwa na routes nyingi sn za kuelekea China and Europe.

Ndiyo maana Magufuli amekuwa akisisitiza kuwa Tz ni tajiri watu wakawa hawamuelewi, hapo tayari soko kubwa lishapatikana
 
Hii ziara tumepiga bao sn, hapo naona lile dege letu la mizigo litakuwa na routes nyingi sn za kuelekea China and Europe.

Ndiyo maana Magufuli amekuwa akisisitiza kuwa Tz ni tajiri watu wakawa hawamuelewi, hapo tayari soko kubwa lishapatikana
Yaani Magufuli alivyo ingia tu akaanza kudeal. Na uvuvi haramu na kuvusha mabondo kinyemela kuyauzia kampala sababu ndio kulikua na madalali wengi

Baada ya serikali kuanza kumobilize masoko ya moja kwa moja unaambiwa saivi waganda wenyewe ndio wanaleta mzigo kuuzia Tanzania sababu wholebuyers wapo Tanzania na Tanzania ndio inacontrol 80% ya mabondo yote ya ziwa Victoria, ni multimillion dollars business

So huyu waziri alivyoaidi mzigo hautapitia tena Hong Kong ndio Tanzania itazidi kunufaika na ziwa Victoria
 
Asante kwa kupost. Hawa wabongo akina Geza Ulole wanadhani kwamba sisi tumezubaa hatujengi nchi yetu. Kwamba watatupita tu as if hatujengi nchi yetu.
Nchi inajengwa pole pole without too much noise.
Siku hizi mmekuwa mnatuogopa kweli kweli, eti tunakelele but zamani sisi ndo tulikuwa tunawaona nyie mnakelele sn, asante sana kwa kuanza kupata akili nowadays
 
Back
Top Bottom