Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuezikuwaogopa. Nyinyi mko na kelele with nothing to show for it. Mlikuwa mkijagamba hapa venye mko na masoko na sasa venye jana mpira uliweka chini watu wakecheze mlishindwa hata kupost picha nne za soko.
Siku hizi mmekuwa mnatuogopa kweli kweli, eti tunakelele but zamani sisi ndo tulikuwa tunawaona nyie mnakelele sn, asante sana kwa kuanza kupata akili nowadays
 
Kisumu. Road like this can't be found in Tanzania.View attachment 1673456
Jaribu ku compare na hii uone utakavyojisikia
JamiiForums-351580744.jpg
 
Hatuezikuwaogopa. Nyinyi mko na kelele with nothing to show for it. Mlikuwa mkijagamba hapa venye mko na masoko na sasa venye jana mpira uliweka chini watu wakecheze mlishindwa hata kupost picha nne za soko.
Wala sina haja ya ku argue na ww kuhusu markets cz kilichokutokea jana kipo moyoni mwako na km utaendeleza kelele ili kuji soft tutarudia tena battle ya shule na markets kwamba leta nilete bila maneno na sio naleta 10 unaleta moja unazuga na maongezi
 
Wala sina haja ya ku argue na ww kuhusu markets cz kilichokutokea jana kipo moyoni mwako na km utaendeleza kelele ili kuji soft tutarudia tena battle ya shule na markets kwamba leta nilete bila maneno na sio naleta 10 unaleta moja unazuga na maongezi
Kitu nimegundua ni kuwa hata Uganda imewashinda kwa sector ya Market.
 
Back
Top Bottom