Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kawaulize scannia wameingia kinyangayiro cha BRT ya wapi
Media zenu huwa zinawadanganya sn, hbr ya Tz wanawaambia ya kwenu nanyi mnaamini bila ku argue, ss scania wameingia kinyang'anyiro cha BRT je nyie mna brt?

 
Umeanza kuchisija sasa..
Kina kina nani ambao hawana sgr airport, interchange, madaraja

Unatafuta mchawi nani
Kuna moja umeruka apo, hzo nyingine huenda zinafanana so unaweza kujitetea ila kuna moja huwezi hata kuweka ufanano na kwa tahadhari tu umeiruka
 
Baada ya Tz kuwa nchi ya kwanza EAC kuingiza technology mpya mfano cable stayed bridge, electric sgr, 3level interchange etc, now it plans to introduce cable cars in Kilimanjaro region which will be the first to be seen among EAC countries

Screenshot_20210109-170013.jpg
 
Python nilipata project moja kwa namna fulani Python ipo nje kidogo. But kama upo na basics nzuri za programming ni rahisi tu kufanya C family.
By the way mimi huwa ninafanya na VB.

Python ni nzuri sana kwenye artificial intelligence kwenye data miming.
Kama unataka ku base sana kwenye data miming Python is good.
Hapa kwenye VB nimegusagusa ingawa sikwenda deep sana.
 
Vila Rosa Kempinski is an international brand. Wewe endelea kula kwa kibanda cha mama ntilie. Mambo haya huyaelewi.
kabisa siyaelewi...

ila kama ni real international hotel kwanini kuwe na kunguni.....?
 
obama mara sijui wa izrael. nini hii mpo outdate sana kwenye masuala ya hotels...

ninawasiwasi hao viongozi kwenye hiyo hotel bila shaka walipambana na kunguni wa kutosha sema wakaamua kuuchuna tu
😂 😂 😂 una mauchungu sana ndugu. Punguza stress, it's never that serious!
 
katoa povu ambalo linatosha kufua nguo zote za familia nyumban
Wewe umefanya nikuchukie sana. Wewe ni umbwa tu. Ukitaka details zangu zote naweza kuzimwaga hapa. Malaya wewe.
 
Back
Top Bottom