tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Ilo Gazette Ni wachawi Tu
Ilo Gazette Ni wachawi Tu
Nyie mna ports ngp na sisi tuna ngpl.
Bandari? Bandari? Bandari gani?


Tulia Nairobi expressway iishe ndio uone the first barabara ya juu kwa juu hapa Africa MasharikiHizi level tutasogea lini wadau
View attachment 1672870View attachment 1672871View attachment 1672872
Acha kunichekesha kwa lazimaTulia Nairobi expressway iishe ndio uone the first barabara ya juu kwa juu hapa Africa Mashariki
Kwa hii nadhani km tuko karibu sn ule mzigo wa kimara kibaha hasa pale mbezi wakijenga ile flyover....lkn izo za chini ngoja tuone na pressure ya magari..mtazamo tuHizi level tutasogea lini wadau
View attachment 1672870View attachment 1672871View attachment 1672872
Hizo ni modern flyovers/interchanges jomba hakuna tofali apo, yn apo mahitaji yaliongezeka wakawa wanaongeza, mfano hapa kwetu pale ubungo baadae tuongeze zingine patakaa km hivyoTulia Nairobi expressway iishe ndio uone the first barabara ya juu kwa juu hapa Africa Mashariki


😁 Niongeze kwenye hiyo list na soon natoa kitu matata mtakayokua adicted to kama kubet
We utakua 2 kimoHuyu mzee wenu huwa mfupi sana kama mbilikimo. Yaani ni mfupi kushinda Mchina? Maajabu haya.
Amenishangaza sn ila nikaamua nmuache mana tony ni mtu asiyejua mambo mengi, nahisi tony atakuwa ana matatizo ya kisaikolojia huenda family matters zinamsumbua cz anasahau mnoo.We utakua 2 kimo
Em muangalie vizuri
View attachment 1672899View attachment 1672900View attachment 1672901
Huyu jamaa utafikiri zilifyatukaAmenishangaza sn ila nikaamua nmuache mana tony ni mtu asiyejua mambo mengi, nahisi tony atakuwa ana matatizo ya kisaikolojia huenda family matters zinamsumbua cz anasahau mnoo.
Kwa hivyo $75 just to book a hotel ni pesa kidogo kwako hadi unacheka? Nyinyi mnakuanga washenzi sana. Halafu naona Venus Star pia kacheka. Nyie mnajificha nyuma ya keyboard na kujifanya mnaishi rich lifestyle na kumbe mnaishi maisha ya kishamba tu. Kwa habari yako Walker255 hii hoteli ni international na rates zake zote ni standardized. Yaani hawajapunguza bei sana compared to hoteli za Europe. Ukienda Radisson blue iliyoko Prague unabook na ksh 11,668 ambayo ni takriban USD 100. Kwa hivyo hio USD 75 ya Park in Radisson ni standardized rate na inakaribia $100 ya Radisson blue ya Prague.$75 kwenu ni pesa nyingi eh? 😂😂😂😂
Wewe sidhani kama umeshawahi kukanyaga mlango wa hoteli! Kama USD 74.40 Ndio gharama ya kufanya reservation, hiyo hela ya “rooms” unayoongelea ni ipi?





, Room rate ni 75.40, bado anategemea kuna gharama za room zingine
Hiyo hotel ni nyota ngapi!?Kwa hivyo $75 just to book a hotel ni pesa kidogo kwako hadi unacheka? Nyinyi mnakuanga washenzi sana. Halafu naona Venus Star pia kacheka. Nyie mnajificha nyuma ya keyboard na kujifanya mnaishi rich lifestyle na kumbe mnaishi maisha ya kishamba tu. Kwa habari yako Walker255 hii hoteli ni international na rates zake zote ni standardized. Yaani hawajapunguza bei sana compared to hoteli za Europe. Ukienda Radisson blue iliyoko Prague unabook na ksh 11,668 ambayo ni takriban USD 100. Kwa hivyo hio USD 75 ya Park in Radisson ni standardized rate na inakaribia $100 ya Radisson blue ya Prague.
View attachment 1672904
Halafu nina message nyingine kwa Geza Ulole. Wewe umenidharau sana. Ulishasema mimi sio mchumi. Sasa nataka useme kwamba mimi sijaishi Czech Republic nikuonyeshe mambo.
HahaaaNdio umegundua leo. So uanze kuwa na adabu sasa.
I am not only IT but also I am Software engineer.
Usipost details zangu hapa wewe detective. Wewe unapenda upekuzi wa kishenzi sana. Wacha umbea mzee. Japo sio mbaya Geza Ulole akijua kwamba nina 14,000 followers kwa twitter.



Kitu moja nimekuja kugundua ni kuwa marais na waziri wakuu wa Tanzania ni mbilikimo wote isipokuwa Jakaya KikweteWe utakua 2 kimo
Em muangalie vizuri
Shein sio mfupi lakini Magufuli kampita Shein
View attachment 1672899View attachment 1672900View attachment 1672901
Wenzetu wana masoko nane tu, sasa yameisha wamebaki ku post renders

