Kwa hivyo $75 just to book a hotel ni pesa kidogo kwako hadi unacheka? Nyinyi mnakuanga washenzi sana. Halafu naona
Venus Star pia kacheka. Nyie mnajificha nyuma ya keyboard na kujifanya mnaishi rich lifestyle na kumbe mnaishi maisha ya kishamba tu. Kwa habari yako
Walker255 hii hoteli ni international na rates zake zote ni standardized. Yaani hawajapunguza bei sana compared to hoteli za Europe. Ukienda Radisson blue iliyoko Prague unabook na ksh 11,668 ambayo ni takriban USD 100. Kwa hivyo hio USD 75 ya Park in Radisson ni standardized rate na inakaribia $100 ya Radisson blue ya Prague.
View attachment 1672904
Halafu nina message nyingine kwa
Geza Ulole. Wewe umenidharau sana. Ulishasema mimi sio mchumi. Sasa nataka useme kwamba mimi sijaishi Czech Republic nikuonyeshe mambo.