Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijakuambia uandike insha
10yrs only imetosha kuwa super power East and Central Africa, kweli Africa nchi nyingi ni maskini wallahi, just imagine mmepambana since Uhuru lkn cc wala hatukuwa busy na uchumi but 10yrs tumeanza vita vya kiuchumi tushawagaragaza
 
10yrs only imetosha kuwa super power East and Central Africa, kweli Africa nchi nyingi ni maskini wallahi, just imagine mmepambana since Uhuru lkn cc wala hatukuwa busy na uchumi but 10yrs tumeanza vita vya kiuchumi tushawagaragaza
Show me anything Tanzania is ahead of Kenya and I will show you a long sleeve brah
 
Boss kama hii international hotel ni water tank pia ni sawa. Hii ni hoteli ya Radisson group mshamba kutoka Lazyland anaiita water tank. Pengine hata hujawahi kanyaga ndani ya hoteli yoyote ya Radisson na upo buzy kurusha matusi kwamba jengo hili ni water tank
Hoteli kama hii sio ya hadhi yako.

Screenshot_20210109-134923.jpg


Mjinga wewe naomba utazame hio screenshot niliyokuwekea uone kwamba hapo chini imeandikwa "Book this hotel from USD 74.70". Yaani kubook hoteli pekee tayari lazima uhare USD 74 na bado hujaanza kuspend kwenye food wala rooms. Wacha mchezo dogo. Hili sio water tank na sio hoteli ya hadhi yako. Jikite kwenye mama ntilie.
 
so what? wewe unajua twitter handle yangu?
Sijui twitter handle yako lakini niko sure una less than 5,000 followers. Tanzanians don't like twitter. Mnapenda instagram kwa sababu ya kutazama mapicha maana kusoma maandishi ya kiingereza ni tatizo. Kuna very few Tanzanians on twitter, ama unabisha? Africa nzima inatujua na kutuogopa sisi Wakenya kwenye twitter.
 
Boss kama hii international hotel ni water tank pia ni sawa. Hii ni hoteli ya Radisson group mshamba kutoka Lazyland anaiita water tank. Pengine hata hujawahi kanyaga ndani ya hoteli yoyote ya Radisson na upo buzy kurusha matusi kwamba jengo hili ni water tank
Hoteli kama hii sio ya hadhi yako.

View attachment 1672786

Mjinga wewe naomba utazame hio screenshot niliyokuwekea uone kwamba hapo chini imeandikwa "Book this hotel from USD 74.70". Yaani kubook hoteli pekee tayari lazima uhare USD 74 na bado hujaanza kuspend kwenye food wala rooms. Wacha mchezo dogo. Hili sio water tank na sio hoteli ya hadhi yako. Jikite kwenye mama ntilie.
Pole kwa maumivu.
Nilikuwa nakuuliza tu utoe suggestion.
Kwa upande wangu design yake inafanana na water tank.
 
Boss kama hii international hotel ni water tank pia ni sawa. Hii ni hoteli ya Radisson group mshamba kutoka Lazyland anaiita water tank. Pengine hata hujawahi kanyaga ndani ya hoteli yoyote ya Radisson na upo buzy kurusha matusi kwamba jengo hili ni water tank
Hoteli kama hii sio ya hadhi yako.

View attachment 1672786

Mjinga wewe naomba utazame hio screenshot niliyokuwekea uone kwamba hapo chini imeandikwa "Book this hotel from USD 74.70". Yaani kubook hoteli pekee tayari lazima uhare USD 74 na bado hujaanza kuspend kwenye food wala rooms. Wacha mchezo dogo. Hili sio water tank na sio hoteli ya hadhi yako. Jikite kwenye mama ntilie.
$75 kwenu ni pesa nyingi eh? 😂😂😂😂
 
Sijui twitter handle yako lakini niko sure una less than 5,000 followers. Tanzanians don't like twitter. Mnapenda instagram kwa sababu ya kutazama mapicha maana kusoma maandishi ya kiingereza ni tatizo. Kuna very few Tanzanians on twitter, ama unabisha? Africa nzima inatujua na kutuogopa sisi Wakenya kwenye twitter.
Pwahahahahaha!!! Prove please.
 
Boss kama hii international hotel ni water tank pia ni sawa. Hii ni hoteli ya Radisson group mshamba kutoka Lazyland anaiita water tank. Pengine hata hujawahi kanyaga ndani ya hoteli yoyote ya Radisson na upo buzy kurusha matusi kwamba jengo hili ni water tank
Hoteli kama hii sio ya hadhi yako.

View attachment 1672786

Mjinga wewe naomba utazame hio screenshot niliyokuwekea uone kwamba hapo chini imeandikwa "Book this hotel from USD 74.70". Yaani kubook hoteli pekee tayari lazima uhare USD 74 na bado hujaanza kuspend kwenye food wala rooms. Wacha mchezo dogo. Hili sio water tank na sio hoteli ya hadhi yako. Jikite kwenye mama ntilie.
Wewe sidhani kama umeshawahi kukanyaga mlango wa hoteli! Kama USD 74.40 Ndio gharama ya kufanya reservation, hiyo hela ya “rooms” unayoongelea ni ipi?
 
Sijui twitter handle yako lakini niko sure una less than 5,000 followers. Tanzanians don't like twitter. Mnapenda instagram kwa sababu ya kutazama mapicha maana kusoma maandishi ya kiingereza ni tatizo. Kuna very few Tanzanians on twitter, ama unabisha? Africa nzima inatujua na kutuogopa sisi Wakenya kwenye twitter.
twitter handle yangu haikuhusu na hautakaa uipate!
 
l.
Watanzania nadhani mmejionea wenyewe jinsi tulivyo super power in East and central Africa, jamaa kila sekta hawagusi.

Bandari
Airports
Railways
Roads
Markets
Residentials
Electric connectivity
Health sector
Water availability
Food security

Kote huko tunawapiga tu wanabaki kukimbilia link wanazotengeneza wenyewe but ground hamna kitu, ila hata huko Google tumeanza kurekebisha so soon mambo yatakuwa hadharani
Bandari? Bandari? Bandari gani?
 
Back
Top Bottom