Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
WTF is this crap 💩 ?
WTF is this crap 💩 ?
Mnamkumbuka huyu mkumbaf aliyefungua huu uziwengine wakiendelea kupiga makelele sisi tunachapa kazi.View attachment 1672076View attachment 1672077



watafanyaje sasa wakati wako kwenye kipindi kigumu kuliko wakati wowote kwenye maisja yaoMnamkumbuka huyu mkumbaf aliyefungua huu uzi
![]()
Daraja la SGR la Tanzania labomolewa
Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania. Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover. Hili daraja...www.jamiiforums.com

.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo ndipo mchina alipopata faida kenya yani anawaburuza kila konaYah Ni expensive na ndyo maana kunawizi huko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kenya kwa haya maenoe wacha tu,,tuko on top
Kuna watu wana underground moja inayohifadhi gari 10 wanapiga kelele hao



🤣🤣🤣Eti threat?? Huto tu building along the road tuwe threat🤣🤣threat to upperhill Ni sandton SAKizuri chajiuza, kibaya chajitembeza! Until I posted my pictures, you didn’t think you had a threat! 😂😂😂
Utajua hujui, administrators hutoka kila country of this continent,,si ya mkenyaWho is african full facts 🤣🤣 is that ur official source just be frank
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 jitieni vidole alfu munuse harufu wenyeweView attachment 1672198
Huyu mbwa kuna sehemu kataka kunichefua, kanajifanya eti kiswahili kinamsumbua, hehehehee Wakunya bhn.Mkenya huyu unajionea Tanzania.
haya sasa kazi kwake afungue thread aipe tittle ya daraja la sgr tanzania lajengwaMnamkumbuka huyu mkumbaf aliyefungua huu uzi
![]()
Daraja la SGR la Tanzania labomolewa
Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania. Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover. Hili daraja...www.jamiiforums.com



Leta evidence wapi nilisema hivyo! Nimekuwa nikikandia mikopo ya kipumbavu Kenya imekuwa ikichukua China na sijawahi kusema Tanzania haitachukua mikopo Uchina bali nimekuwa nikisisitiza haitakuwa ya kijinga!?Si wewe ndio jana ulisema kuwa TZ haiwezi kuomba mkopo wa SGR kutoka China? Nilisema kuwa mtaomba mkopo ukaona kama nadanganya. Mimi najua kuwa nchi yenu ni masikini na haiwezi kujenga hilo stretch kutoka Dar hadi Burundi bila mikopo. Usiwe unapingana na mimi jamaa. Najua ninachosema.