Heheheheee MW 10,000 hv Wakenya umeme wenu ni MW ngp vileee [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
Si wewe ndio jana ulisema kuwa TZ haiwezi kuomba mkopo wa SGR kutoka China? Nilisema kuwa mtaomba mkopo ukaona kama nadanganya. Mimi najua kuwa nchi yenu ni masikini na haiwezi kujenga hilo stretch kutoka Dar hadi Burundi bila mikopo. Usiwe unapingana na mimi jamaa. Najua ninachosema.CC: Tony254 unaonaje? Mchina akitoa mkopo wa masharti nafuu kuliko ile mikopo yenyu? Kutakalika humu ndani?
Nchi kukopa kwa ajili ya miradi ya kimaendeleo ndo kielelezo cha kuwa nchi maskini? Hv uchumi ulisomea wapi vilee ili nisije kuthubutu kupeleka mwanangu huko [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90]Si wewe ndio jana ulisema kuwa TZ haiwezi kuomba mkopo wa SGR kutoka China? Nilisema kuwa mtaomba mkopo ukaona kama nadanganya. Mimi najua kuwa nchi yenu ni masikini na haiwezi kujenga hilo stretch kutoka Dar hadi Burundi bila mikopo. Usiwe unapingana na mimi jamaa. Najua ninachosema.
tega sikio na macho, usikie na kuona mkataba ukisainiwa! siye hatuchukui mkopo kwa Mwanza-Isaka lot na hata tukija kuchukua hatuchukui mikopo ya Ufalamanga! Naomba usianze ujinga wa kipuuzi!
Wewe na Geza Ulole Mlishasema kwamba mimi sio mchumi. Sasa unauliza maswali mengi ya nini?Nchi kukopa kwa ajili ya miradi ya kimaendeleo ndo kielelezo cha kuwa nchi maskini? Hv uchumi ulisomea wapi vilee ili nisije kuthubutu kupeleka mwanangu huko [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90]
Tanzania inaruhusiwa kukopa kwa sababu ya ujenzi wa miradi ya kimaendeleo lakini Kenya mnayoichukia hairuhusiwi. Okay, nimekuelewa sasa.Nchi kukopa kwa ajili ya miradi ya kimaendeleo ndo kielelezo cha kuwa nchi maskini? Hv uchumi ulisomea wapi vilee ili nisije kuthubutu kupeleka mwanangu huko [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90]
Umoja mi mguvu..waache wajaribu labda watafanikisha yaoMambo yameanza kuumana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwn ni lazimaNaona media za Kenya zimogoma ku-report ujenzi wa SGR lot 5!
Uchumi uujulie wapi vitu basics kama kutofautisha private n public companies vinakushinda! Ati Ulikuwa unadai Safaricom ni private company badala ya public company!Wewe na Geza Ulole Mlishasema kwamba mimi sio mchumi. Sasa unauliza maswali mengi ya nini?
umeona enhee hawa jamaa si watu wana chuki na wivu kinoma! Imagine hata media houses zinashindwa kufanya kazi kwa kufuata guidelines za Professionalism! that's the biggest news in Africa for this year!media za kenya zipo kimya kureport kusaini ujenzi wa sgr.. maana ni msiba kubwa kwao. Ama kweli kuwahi kuanza sio kuwahi kufika...
1000’s km of SGR already signed and under construction [emoji375]
Tatizo nyie mnakopa zinaingia mifukoni mwa watu, shida ndo inaanzia hapo lkn pia viongozi wenu sio waaminifu mfano mmekopa mabilioni ya shilingi lkn mmeishia kujenga kituko cha diesel sgr kwa gharama ya electric sgr na ndiyo maana huwa tunawacheka sn.Tanzania inaruhusiwa kukopa kwa sababu ya ujenzi wa miradi ya kimaendeleo lakini Kenya mnayoichukia hairuhusiwi. Okay, nimekuelewa sasa.
Ambia moderator aniban basi😂😂🤣😂. Nyinyi mkiambiwa ukweli mnaichukulia kama matusi🤣🤣😂Inaonyesha Jinsi gani ulivyo Mjinga
Matusi Peleka Forum zenu zakijinga
Hata four lane road is a wide road, wewe ulienda shule kweli?🤣🤣😂🤣Thanks for admitting kwmb it's a wide road [emoji112][emoji112]