ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sumbawanga🤣🤣👇👇Good evening for all albino hunters in this group. Kakamega has better roads than all Tanzanian cities outside Dar is slum.
View attachment 1671887
Sumbawanga🤣🤣👇👇Good evening for all albino hunters in this group. Kakamega has better roads than all Tanzanian cities outside Dar is slum.
View attachment 1671887
Hii linganisha na Turkana bana. Hii pia ni barabara ya kuonyesha penye watu wanaonyesha barabara zao?😂😂🤣🤣
So umepanic au 🤣🤣🤣🤣Hii linganisha na Turkana bana. Hii pia ni barabara ya kuonyesha penye watu wanaonyesha barabara zao?😂😂🤣🤣
Hiyo low quality path can't give me headache hata kidogo. Next time mkijenga barabara please jengeni vitu za high quality please🤣😂😂So umepanic au 🤣🤣🤣🤣
Kama saa hii munazalisha chini ya 2,000 MW baada ya miaka takriban 60 baada ya uhuru, ni bangi gani inakudanganya kuwa mtazalisha 10,000 by 2025?Duuu noma sana...hiv kwa anayejua ni nchi ngapi Africa zinazozalisha umeme wa 10,000MW??..nataka nione ikiwa TZ ikifikia ilo lengo 2025 ni nchi ngap tutakuwa nazo kwenye league moja
Uhuru Market Kisumu is 80% complete. It will accommodate 10,000 traders at a go. Huku Kenya hatujengi vibanda venye vinabeba watu 18 and then we call it a market like a certain poor country towards the south
View attachment 1671900



Kama tumetumia miaka mi4 tu kufanya mambo ambayo hamjawahi kuyaota kuwa nayo ndo itatushinda hiyo MW 10,000? Btw mambo mengine huwa hayaepukiki mana kwa miradi tuliyonayo itatulazimisha tuwe na mahitaji ya MW zaidi ya 10,000.Kama saa hii munazalisha chini ya 2,000 MW baada ya miaka takriban 60 baada ya uhuru, ni bangi gani inakudanganya kuwa mtazalisha 10,000 by 2025?







Haitakaa itokeeGood evening for all albino hunters in this group. Kakamega has better roads than all Tanzanian cities outside Dar is slum.
View attachment 1671887
Uhuru Market Kisumu is 80% complete. It will accommodate 10,000 traders at a go. Huku Kenya hatujengi vibanda venye vinabeba watu 18 and then we call it a market like a certain poor country towards the south
View attachment 1671900




hicho ni market au godown...Izo nyumba hazijaisha tu kwani mnajenga SGR?
Hao traders 10k wanatosheaje humo?we nawe huishiwi vihojaUhuru Market Kisumu is 80% complete. It will accommodate 10,000 traders at a go. Huku Kenya hatujengi vibanda venye vinabeba watu 18 and then we call it a market like a certain poor country towards the south
View attachment 1671900
Wewe kweli huelewi mambo ya uchumi. Demand ya 10,000 MW itatoka wapi?Kama tumetumia miaka mi4 tu kufanya mambo ambayo hamjawahi kuyaota kuwa nayo ndo itatushinda hiyo MW 10,000? Btw mambo mengine huwa hayaepukiki mana kwa miradi tuliyonayo itatulazimisha tuwe na mahitaji ya MW zaidi ya 10,000.
Yani media za kenya kutoripoti hii habari ndo inakuuma hivi?umeona enhee hawa jamaa si watu wana chuki na wivu kinoma! Imagine hata media houses zinashindwa kufanya kazi kwa kufuata guidelines za Professionalism! that's the biggest news in Africa for this year!
Huyu Geza Ulole huwa anadhani ati Tanzania is so important. Hajui jinsi Wakenya hata hawawazi kuhusu Tanzania. Tanzania is simply irrelevant to an average Kenyan.Yani media za kenya kutoripoti hii habari ndo inakuuma hivi?
Acha usenge kabisa aisee! Huwa sipendi kabisa kutukana lakini nimejikuta nimeshatukana. Hii iliyokaa kama shed ya kufugia nguruwe ndio ina capacity ya kubeba 10,000 traders! Labda hawkers but not traders! Kweli nimeamini kenya ni failed state!Uhuru Market Kisumu is 80% complete. It will accommodate 10,000 traders at a go. Huku Kenya hatujengi vibanda venye vinabeba watu 18 and then we call it a market like a certain poor country towards the south😂😂
View attachment 1671900