Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanga technical sec school. 126 years old View attachment 1671003View attachment 1671004
images%20(2).jpg
 
Kwao elimu nikujua kuongea english tu wanadhani ukiongea kiswahili basi huna elimu. Na hii kasumba ni muda mrefu sana Kenya hata ndani ya Kenya yenyewe japo kwa sasa imepungua sana na wengi wanaanza kuzungum,za kiswahili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
 
Eti wana compare the ksh12.8bn with ksh1.7bn aibu naona mm wallahi hahahahaaaaaa, ona

Hao wako kazini, endelea kuwapa shavu tu..unafikiria ni kila channel ni ya kuiokota na kuileta huku...
Fuatilia channels za maana hata mara moja moja basi acha kuwehuka
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Endelea kujiliwaza na hivyo viblog uchwara sisi tunasonga mbele kwa mbele by the time mnakuja ku-realize tayari kumeshakucha! We talk less and do more!
 
Hii technique anayotumia jiwe ni the best sn, yn kipande hiki wanajenga waturuki, kipande hiki wachina lkn treni wata supply wakorea, yn hapo wanashindana ili kutoa kitu quality wapate tenda zingine.

Sio km jamaa zetu kila kitu wamempa mtu mmoja mwishowe anafanya kazi kwa mazoea cz hata akiharibu tender zipo tu.

Big up to My president, H.E Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mr. SGR buldozer kiboko ya Mungiki
Semeni mturuki kawapiga baada ya kuona nikm atawapa kitu cha maana yeye akaleta kituko cha mwaka..
Sasa mumeamua kurudi kw wenye kazi hzo, wachina hakuna wakumzidi hyo sector..
Hela yako ndio itamshawishi

Mpunga km haueleweki anakudungia kitu km cha ethiopia, ukileta ujuaji anawapiga km nigeria
 
Semeni mturuki kawapiga baada ya kuona nikm atawapa kitu cha maana yeye akaleta kituko cha mwaka..
Sasa mumeamua kurudi kw wenye kazi hzo, wachina hakuna wakumzidi hyo sector..
Hela yako ndio itamshawishi

Mpunga km haueleweki anakudungia kitu km cha ethiopia, ukileta ujuaji anawapiga km nigeria
Sisi wachina tumeanza nao tangu zamani sana miaka ya 60's kuanzia kujenga reli na barabara. Hatujawajua leo kama nyie ndo maana wanawapelekesha na kuwaingiza mkenge kiboya boya. Na hapa Tz wapo miaka mingi wanafanya kazi za ujenzi hivyo tumefanya nao kazi nyingi, tumewazoea na tunawajua ndiyo maana hawawezi kutuletea upimbi na wakijaribu tunawatimua. Siyo kama nyie mnawatetemekea mpaka wanawatandika viboko/fimbo matakoni watu wazima na familia zenu. NYAMBAFU!
 
Endelea kujiliwaza na hivyo viblog uchwara sisi tunasonga mbele kwa mbele by the time mnakuja ku-realize tayari kumeshakucha! We talk less and do more!
Bro hapo pa ku talk less and do more umedanganya😂😂😂 mnapayuka sana! Kelele kibao kutoka kwa mukulu na uzinduzi, mawaziri, na raiya, ni muda mrefu hamjaona maendeleo bado mnashangaa shangaa! Mlianza kwa kusherehekia lift, sasa ni flyovers na ni chache bado😂 wenzako wanakiri😂😂
👇👇👇
2621226_1605985365029.png
 
Back
Top Bottom