komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Acheni kuongea upupu hapa, mnafikiria dunia nzima nani anamuingia mchina katika sekta ya reliYeah hili lipo wazi ila trust me kwa Magu watakua na supervision ya kufa mtu, pia ujue hii kitu ni pesa yetu yote kwa hiyo lazima wajenge kwendana na viwango vyetu.
mnajuana kwa vilemba sio?
Wamebebwa..
Kujifariji sio haramu![]()
Mtasomaje kw zamuHahahaha sijategemea kujua wakenya hawana shule kabisa, sasa hiyo elimu wanaosema ipo juu wanajifunzia wapi?


Technical schools za kiboya sana


Mna uhaba wa madarasa nchi nzima na hyo ni fact, sasa hapo mumendelea wapi katika sekta ya elimu..Anaujua ukweli mbn, na sio yeye tu watu wote waliowahi kutembelea hii thread kwa ss huwaambii kitu kuhusu Tz na Kenya, wanajua kwamba Tz kwa ss iko mbele ya Kenya kwa mambo mengi sana.
The only thing left, and probably makes Kunyans brag about is the GDP ushuzi inayonuka madeni.
Eti Wakenya siku hizi wanajifanya wanashangazwa na maendeleo yaliyopo Tz, eti walikuwa hawajui km Tz imeendelea hv as if wao ni developed country, wakenya kweli wana mambo, licha ya shida walizonazo lkn bado ni majeuri.
Ila twende nao taratibu cz wameshaanza kuelewa kwamba walikuwa wanaongopewa toka wapo shule![]()





Mombasa mariakani 4lanes zege plus interchanges na viaductsHii walishatii kwamba hawana![]()




...uyu Waziri atarudi kumsimulia Rais wake wa China kwa muvi la kutisha aliloliona Kwenye Neflix ya Tanzania.Mbna sio vigeni kwetu jamanMpe na hii aone tunavyokwenda kutawala EA kwa kila kitu


Lazima hyo mkuu, ila bado nateseka sana kuhusu hicho kipigo cha jana..mnajuana kwa vilemba sio?

