The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Anaujua ukweli mbn, na sio yeye tu watu wote waliowahi kutembelea hii thread kwa ss huwaambii kitu kuhusu Tz na Kenya, wanajua kwamba Tz kwa ss iko mbele ya Kenya kwa mambo mengi sana.Teargass barabara za tz zina michoro safi,muache kusemaga eti barabara za tz sio marked
View attachment 1670434
The only thing left, and probably makes Kunyans brag about is the GDP ushuzi inayonuka madeni.
Eti Wakenya siku hizi wanajifanya wanashangazwa na maendeleo yaliyopo Tz, eti walikuwa hawajui km Tz imeendelea hv as if wao ni developed country, wakenya kweli wana mambo, licha ya shida walizonazo lkn bado ni majeuri.
Ila twende nao taratibu cz wameshaanza kuelewa kwamba walikuwa wanaongopewa toka wapo shule












