Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hundreds of new tarmac in rural

Road_Markings_on_A4104_-_geograph.org_.uk_Pic-Bob Embleton.jpg


 
Na wakiendelea kuleta hzi gharama na wakafanya kazi yenye ubora na kwa speed basi tenda zote zilizobaki kuna uwezekano wakabeba... kampuni ya CCCEC ina moto sana..angalia alivyo kimbiza ile interchange ya ubungo.
Sipati picture design ya Mwanza terminal na bridge kutoka Bwiru mpaka Station linaweza kuwa na urefu wa kilometres 5 sababu eneo kubwa litapita kwenye maeneo heavily populated
 
Sipati picture design ya Mwanza terminal na bridge kutoka Bwiru mpaka Station linaweza kuwa na urefu wa kilometres 5 sababu eneo kubwa litapita kwenye maeneo heavily populated

Ooh...kwahyo tutegemee Viaduct pale Mwanza??..,wadau mliopo kwenye system embu rusheni hzo ronja za render basi[emoji16][emoji16]...ila Mchina ana mitambo mingi sana ya ujenzi wa reli ambayo ni automated tutegemee speed kubwa sana.
 
Ooh...kwahyo tutegemee Viaduct pale Mwanza??..,wadau mliopo kwenye system embu rusheni hzo ronja za render basi[emoji16][emoji16]...ila Mchina ana mitambo mingi sana ya ujenzi wa reli ambayo ni automated tutegemee speed kubwa sana.
Probability ya kuboard train indoor juu ya viaduct kama Dodoma ni mkubwa sana hasa ukizingatia mazingira ya Mwanza namna rail ikivyokatiza kwenye barabara nyingi

images - 2021-01-07T111528.049.jpeg
 
Back
Top Bottom