Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

46B363D2-D061-41F2-BD5C-BD82F0F4DE53.jpeg
CD1D6C22-CD6C-48BE-8FE4-05E29A87357D.jpeg
EF9C3726-7779-4D5C-8BB4-3624630FDD69.jpeg
EFAE3BDE-22D6-4070-946A-ED76DCE02600.jpeg
 
Uyu Waziri wa Mambo ya Nje ya China nahisi atashangaa sana kwa jinsi Tanzania inavyompa heshima kubwa, maana anafungua Jengo ambalo lina jina lake kama Binadamu lazima aone utofauti wa Urafiki wa China na Tanzania ukilinganisha na Nchi nyingine za Africa alizotembelea.

View attachment 1670792

Na kama haitoshi atashangazwa na Nchi ya Africa ambayo ina saini mkataba wa Matrilion wa mradi wa SGR mbele yake ikiwa Makampuni ya China ndo yanayotekeleza bila sumni ya kutoka China kwake itakuwa maajabu maaana nimesikia Raisi Xi jping alikuwa ana mute simu za kenyata akiomba Mpunga...mara ya mwisho akaweka Flight mode maana kila saa jamaa anapiga simu ...uyu Waziri atarudi kumsimulia Rais wake wa China kwa muvi la kutisha aliloliona Kwenye Neflix ya Tanzania.
Inakaa atamrithi Xi JinPing
 
Back
Top Bottom