Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,913
- 103,782
Dah hatari sana.
Hebu weka ushahidi hapaMombasa mariakani 4lanes zege plus interchanges na viaducts
Acheni kulaghaiwa na maneno ya majukwaani wazee wa pesa za ndani








🤣🤣🤣🤣🤣 atakuwekea rendersHebu weka ushahidi hapa![]()
Mtaishia hvyo hvyo kuongea bila ushahidiMbna sio vigeni kwetu jaman![]()








Sio 99% tena ?90% ya barabara zenu hazijachorwa. Unadanganya nani?
Inakaa atamrithi Xi JinPingUyu Waziri wa Mambo ya Nje ya China nahisi atashangaa sana kwa jinsi Tanzania inavyompa heshima kubwa, maana anafungua Jengo ambalo lina jina lake kama Binadamu lazima aone utofauti wa Urafiki wa China na Tanzania ukilinganisha na Nchi nyingine za Africa alizotembelea.
View attachment 1670792
Na kama haitoshi atashangazwa na Nchi ya Africa ambayo ina saini mkataba wa Matrilion wa mradi wa SGR mbele yake ikiwa Makampuni ya China ndo yanayotekeleza bila sumni ya kutoka China kwake itakuwa maajabu maaana nimesikia Raisi Xi jping alikuwa ana mute simu za kenyata akiomba Mpunga...mara ya mwisho akaweka Flight mode maana kila saa jamaa anapiga simu...uyu Waziri atarudi kumsimulia Rais wake wa China kwa muvi la kutisha aliloliona Kwenye Neflix ya Tanzania.
Render na kilichojengwa ni tofauti kabisa,kama kawaida yenu huwa hamfuati renderShule na render zao, marurui primaryView attachment 1668298View attachment 1668316
Chong chun 100%
So fucking what? Your SGR is 100% Turkish.Chong chun 100%
Unaweka mpk mitumba mnayobadilisha leboMADE IN KENYA;LEVIS JEANS,CALVIN KLEIN,etc......View attachment 1670893View attachment 1670894View attachment 1670896View attachment 1670908View attachment 1670909View attachment 1670909View attachment 1670910View attachment 1670911View attachment 1670912View attachment 1670913View attachment 1670914View attachment 1670915View attachment 1670917








100% turkish u mean what??So fucking what? Your SGR is 100% Turkish.
Ndio unajidanganya hvo 🤣🤣🤣🤣So fucking what? Your SGR is 100% Turkish.
Unataka kusemaje?Acheni kuongea upupu hapa, mnafikiria dunia nzima nani anamuingia mchina katika sekta ya reli