Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG-20201230-WA0003.jpg
 
Wewe hujawahi kurudia picha alafu kwako kila kitu ni agenda?embu badilika bana wewe
Jamaa yupo desperate mwache tu. Haamini anachoona si unajua mnyama anapochinjwa akiwa anakata roho huwa anajirusha rusha sana.

She don't know what to do. Wewe mwache tu sisi tuwe focused akijaribu kupotosha tunaweka taarifa sahihi. Watu wengi wanapitia Uzi huu, wanaona tabia za wakenya.
 
Jamaa yupo desperate mwache tu. Haamini anachoona si unajua mnyama anapochinjwa akiwa anakata roho huwa anajirusha rusha sana.

She don't know what to do. Wewe mwache tu sisi tuwe focused akijaribu kupotosha tunaweka taarifa sahihi. Watu wengi wanapitia Uzi huu, wanaona tabia za wakenya.
Sawa
 
Show me any data that says TZ has a higher agricultural output than Kenya. Chakula sio mahindi na mahargwe pekee yake!!! You have been brainwashed to believe that TZ is the garden of Eden yet you have a population of 55 million people with an output of 62 billion USD. So hizo mahindi na maharagwe why are they not translating into money???
Evidence ni border ikifungwa chakula na matunda inakua tabu kupatikana kupatikana kenya
 
Ethiopia airline is fully owned by the government yet they release their financial statements every year. Kubalini tu kuwa serikali yenu inawachezea
Don't you know how good they are at excuses?
 
So ATCL only have four international routes?
Ndege zetu siyo kwa ajili ya "biashara ya ndege" kama nyinyi au jirani zenu Ethiopian Airways. Zetu ni kwa ajili ya destinations strategic kwa uchumi wetu tu. Na soon tunakuja na meli za mizigo za ku-play along EA Coast, Lake Victoria, na Lake Tanganyika. Nyasa tayari tunazo 2. Hivi hamshtuki tu nyie watu.
 
Sasa kama ni fully owned, hiyo taarifa wanamtolea nani?, kwanini usiulize Financial statement ya Kenyatta Hospital?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Does Kenyatta hospital exist to make money? Is it a business entity whose primary goal is to make profits? Wewe umechanganyikiwa na ni mwaka mpya
 
Does Kenyatta hospital exist to make money? Is it a business entity whose primary goal is to make profits? Wewe umechanganyikiwa na ni mwaka mpya
Hahahaha, Unaumwa wewe, kwani hawapewi pesa na serikali?, wananchi wanataka kujua matumizi ya kodi zao, kwani mashirika ya umeme na maji primary goal ni kutengeneza PESA?.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom