Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm nawashangaa sana Wakenya, wanalalamika kwamba reli yetu imechukua muda kukamilika wakati yao imeanza kabla yetu na haijaisha mpk leo.
Lengo lao ni kutaka ikamilike haraka ili waje kupanda Bullet trains, sasa hivi wameshakubali kwamba wao reli yao ni upuuzi mtupu, wameamua kushabikia reli yetu kama ilivyo katika mziki
 
Lengo lao ni kutaka ikamilike haraka ili waje kupanda Bullet trains, sasa hivi wameshakubali kwamba wao reli yao ni upuuzi mtupu, wameamua kushabikia reli yetu kama ilivyo katika mziki
Nilikuambia uweke ushahidi kuwa treni mliyoagiza ni bullet train halafu ukakataa. Mtaletewa mtungi wa chang'aa.
 
Wewe unasema nini? Umeona stations zenu jinsi zinavyofanana?
unamaanisha hii
20201228_124759.jpg
 
wakiona vitu kama hiv vilivyolipiwa cash .. mavi yao mda huohuo yanagonga vyupi (jaribu kuwaza mavi yanagonga chupi)
View attachment 1662233

Na kinacho wauma zaidi ni kwamba kwasasa nchi yao ina madeni ya kufa mtu na kila kitu kinaendeshwa na mikopo..hawana Cash ya maendeleo hivyo hawawez hata kuota kununua ndege sio tu ndege kubwa hata bombardier....ukweli unauma
 
Kama unafuatilia vizuri, utagundua kwamba wamesema watakabidhi April 2021. Bora kuchekewa kuliko kufanya haraka lakini chini ya kiwango kama huko Kenya
Hawa wakenya vichwani wamejaza tu mirungi na chang'aa. Hvi wanafikiri kujenga SGR ambayo itatumiwa na EMU trains at the speed of 160kmph sawa na kujenga SGR kama yao inayotumia gari moshi (DMU) at the speed of 80kmph?
 
Back
Top Bottom