Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Dar ikifika hapa, Kenya tumefika kwa mwezi.
Dar ikifika hapa, Kenya tumefika kwa mwezi.
Ndio hio na ukiskia pesa uliochukua utacheka kufa 🤣🤣🤣🤣 1.96b ksh sawa na 18m usdHizi daraja za kivietnam mbona ziko nyingi sana huku Kyela. Ndiyo hiyo iliambatana na kelele zote zile!![]()
Natamani na Bwawa la Julius Nyerere likamilike kabla ya june 2022 majirani washuhudie kushushwa kwa bei ya tokenNdiyo huyo huyo atakayefanya muuwane 2022, wait April bullet ifike choko choko zianze ndani ya Kunyaland.
Na tunajuwa nyie ni huwa mnaelewa taratibu mno mpk muone bullet train huku Tz ndo mtagundua kuwa mlipigwa![]()
Nimebookmark hii, ntakukumbushaMumeweka oder wapi hzo bullet
Mbona oder za ndege wakulu wanapost twitter mpka hela na kampuni..
Train leo ndio msipost, hela hamna mturuki ameshachoka
Nairobi Slums jungle
Tony usibadili ID Tafadhali, nimesave hii nije kukukumbushaNiliwaambia waniwekee evidence kwamba bullet train ya ITX ndio inakuja wakanyamaza. Maana hata wao hawajui ni train gani inakuja. Tungi la chang'aa ndilo litashushwa kwenye bandari.
mwaka huu piga hua.. Tanzania inazindua treni ya umeme
wakenya hata mloge vip mwaka huu tunapanda treni ya umeme
happy new year everyone!
Hahahaha, mkishindwa mnajaribu kutafuta maeneo ya kujiliwaza, reli yetu ni bora kuliko zote hapa Africa, tumeagiza wagons za double stack piaSio eti hampendi, quality ya reli yenu ndio hairuhusu double stack![]()




Kenya hamna rais, ninyi mna mlevi hapo IkuluSisi huwa hatumuabudu rais wetu sana kama nyinyi mnavyomuabudu Magu kana kwamba yeye ni Mungu.




There is nothing we can learn from Mr Padlocks.
Ugly buildings as ussual
Ebu tuonyeshe penye mliagizaHahahaha, mkishindwa mnajaribu kutafuta maeneo ya kujiliwaza, reli yetu ni bora kuliko zote hapa Africa, tumeagiza wagons za double stack pia
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app


. Your SGR will never be double stack.Kimara to kibaha high way, Mbezi luis terminal...its gona be litHuu mwaka una mazito sana...almost projects pendwa zinakamilika, Kipande cha Moro-Dar, midege ya Airbus kuletwa, mmeli wa maajabu pale ziwa Victoria, Tanzanite bridge.....embu endeleeni na nyingne wadau
Lakini tuwe na rais mlevi lakini sio mchawi



Warthog is your new vocabulary,i betUAP has never disappointed me when it comes to welcoming new years. Happy new year to all Kenyans here and all witches plus warthogs in this thread. View attachment 1664333View attachment 1664334View attachment 1664335