Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Weka hapa tuone
Ndugu yangu hawa watu ni wakusikitikia tu. Hii ndio kasarani tunayopigiwa kelele
Screenshot_20210101-131110.png
Screenshot_20210101-131131.png
Screenshot_20210101-131049.png
 
Why do you hate facts?. I just stated what was in the article that mentioned importance of Kisumu port to Uganda.
Ninyi ndio mnawashwa, Geza ameweka taarifa ya Uganda kutengeneza reli ya zamani hadi Kenya, kutokana na wivu ukasema "hiyo inaonyesha jinsi Kisumu port ilivyo muhimu kuzidi Mwanza port", sasa Mwanza imefikaje?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya firework kila sehemu yapo. Na kila wakati Tanzania yanafanyika. Kwasababu wakenya ni washamba na hawana exposure wanaona big deal.

Tumejaribu kuwa ignore ili wajishitukie but bado tu. Hebu niwapatie some videos muone wakenya walivyo washamba.

This is Dar
Wajinga hawa ...mwingine kadirik kusem eti kisa firework basi wao wako mbali sna..
 
Back
Top Bottom