ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Berth moja ya Lamu inatoshana na berths mbili zenu.Kenya mnapenda tuvitu flani shoddy kama hutu. Show off kibao ila kwenye mambo ya msingi zero kabisa. Nimesikia mmetumia $480m kujenga 3 berths Lamu! Hiyo ni gharama siye tunatumia kujenga 7 berths pale Dar port.
I was waiting for you to say he's kenyani, but he's notYou envy Kenyans that's why your avatar is Obama who is Kenyan by blood..



Hahahaha, bora tu angejifia na wenzake, Kenya is the most dangerous country in EAC
Shirika zote za Kenya huwa inatoa financial statements. Shida ya watanzania ni ujinga, wanadanganywa kirahisi na serikali yaoHahahaha, Unaumwa wewe, kwani hawapewi pesa na serikali?, wananchi wanataka kujua matumizi ya kodi zao, kwani mashirika ya umeme na maji primary goal ni kutengeneza PESA?.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app




. This is financial statements za Kenyatta National Hospital





Huyo ni mkenya by blood, ama ulitaka awe Mtanzania?I was waiting for you to say he's kenyani, but he's not![]()



Aliyeaibika ni huyo kilaza mwenzako anayelinganisha kampuni ya ndege na hospitali ya ummaHapa umemuaibisha mkunya mwenzako![]()
Naona unasifia ufisadi 🤣🤣🤣Berth moja ya Lamu inatoshana na berths mbili zenu.
Wambie Kenyatta National Hospital huwa inatoa financial statements every year.Aliyeaibika ni huyo kilaza mwenzako anayelinganisha kampuni ya ndege na hospitali ya umma
Hyo atcl pia ni shirika la ummaAliyeaibika ni huyo kilaza mwenzako anayelinganisha kampuni ya ndege na hospitali ya umma




Nani amesema mizigo asilimia 70 inasafirishwa na reli? Unakuanga mjinga sana. Unaaibisha waarabu wenzako. Mimi nimesema kuwa kwa mizigo zote ambazo zinasafirishwa kwa kutumia SGR, asilimia 70 huishia Nairobi.Leta link kua mzigo asilimia 70 unasafirishwa na reli nasubiria 🤣🤣🤣
Wakenya uwezo wenu wa kujua mambo ni mdogo sana, onaDoes Kenyatta hospital exist to make money? Is it a business entity whose primary goal is to make profits? Wewe umechanganyikiwa na ni mwaka mpya






Wambie Kenyatta National Hospital huwa inatoa financial statements every year.
Mimi naongea facts. Uliza Geza Ulole atakuelezea ukubwa wa berth moja ya Lamu port.Naona unasifia ufisadi 🤣🤣🤣
Sasa umeumia juu KNH wanatoa financial statements unlike your dead airline?Wakenya uwezo wenu wa kujua mambo ni mdogo sana, ona![]()



Sasa si unaona vile unajichanganya? Kama unajua kwamba hizo mashirika zinafaa kutoa statements zao Lila mwaka, why are you saying that ATCL is an exemption? That sio lazima itoe statements zake? Wewe unapenda tu ubishi za kijingaHahahaha, Unaumwa wewe, kwani hawapewi pesa na serikali?, wananchi wanataka kujua matumizi ya kodi zao, kwani mashirika ya umeme na maji primary goal ni kutengeneza PESA?.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Unaandika kichagga kwa nini?Tony254 Akibong'oa wabongo havungi imo mpka kuna time anakaa sawaa bado huyu mzee Teargass Inabid aliwe mandee tena mtungo ndo atakaaa sawaa View attachment 1664735View attachment 1664736View attachment 1664738View attachment 1664737
Unaniambia mm auDoes Kenyatta hospital exist to make money? Is it a business entity whose primary goal is to make profits? Wewe umechanganyikiwa na ni mwaka mpya







Sasa umeumia juu KNH wanatoa financial statements unlike your dead airline?![]()