Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433

Ndege zetu haziendi S.A. tuNdege ambazo zinawekwa kwenye parking na kupata kutu? Ndege ambazo haziwezi kutoka nje ya Tanzania kwa sababu mkulima anataka kuzikamata?
When it comes to fireworks it's only UAP that can rival KICC in Sub Saharan Africa.Noma sana hii picha. Picha kama hii Malazy hawawezi kuwa nayo huko Dar. Nice picture Teargass. Thanks for posting.
So ATCL only have four international routes?Ndege zetu haziendi S.A. tu
Mumbai,Entebe,Harare,Lusaka,Comoro tunaenda



Weka picha zako za firework. Ukimaliza niambie nikuoneshe 2021 DarfireworkIn East When it comes to fireworks it's only UAP that can rival KICC in Sub Saharan Africa.
KICCWeka picha zako za firework. Ukimaliza niambie nikuoneshe 2021 Darfirework
I need a building in Tanzania that is capable of doing this.Weka picha zako za firework. Ukimaliza niambie nikuoneshe 2021 Darfirework
Hii ligi hamuwezani kabisa, kenya imejengwa sana kuwaliko, apartments vitu vya kawaida. Unapinga.Nairobi Slums jungle
Kwamba leo hutaki kusikia kutoka kwa wanaofanya procurement bali unataka kusikia kutoka wikipedia au sioMr kadogosa has said, Mr kadogosa said...
Yani kasema kutoka mwanzo wa hadi mwisho..
Sijaona oder wala, idadi na make..
Rudi kivingine tena achana na link za watu ambaowao wenyewe wamefanya kunukuu kutoka kw wazee wa majukwaani..




Leta fireworks yenu ya jana mzee. Au hamna? Hahaha. Halafu huwa mnataka kulinganisha Nairobi na Dar. ![]()
![]()
Source: My Dar es salaam
Hahahahaaaaaa, tony aliniuliza kuhusu kusafiri na mifugo pamoja na magunia ya viazi kwenye mabasi yetu akanishangaza sn, kumbe kwao ni kawaida




