Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hii huko Voi?
Lewa_Airport.jpg
Hyo ni private airstrip kwa ranch ya Mtu
 
Hakuna ushahidi wowote kuwa train yenu itakuwa KTX. joto la jiwe alishindwa kuleta ushahidi.
It is likely that the KTX model is the one that was ordered by the government. They’ve already sent Tanzanians to South Korea to learn about operating such trains. Lakini mimi naona wataleta ITX.



ITX train
87151E1B-F12D-41CC-A2ED-F270D21B9BF1.jpeg
66BAFBA2-959C-492B-8B75-4074145923E0.jpeg
 
Eti bad boy dah, watu twajenga ma expressway watu wafurahia fly-over. Kweli viwango tofauti.
Mnajengew na bwana z3nu na mngoje watakavy wanyony mpka maklio mnapenda vya wanaume mnajua walipataje hela izo
 
sasa terminal tu ndo inaitwa jina la Mfugale? mbona wasiuite uwanja mzima Mfugale kama wanataka kumuenzi? na kwanini iitwe "tower" badala ya "Terminal"?



Nchi yetu bana tuendelee tu kuipambania lakini kuna vitu vinafanyika vinakatisha tamaa. Kuna watu wengi tu wameitendea makubwa nchi lakini hawapewi kipaumbele. Leo huyo babu mfugale amekua kila kitu. Kwa nini wasingeita burigi national park ?
 
Back
Top Bottom