kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
Hii mbn hujajibu![]()
Hii mbn hujajibu![]()
Iyo ni hatua kubwa sana...nabado wanatanua bandari walau tufike tani milioni 30Leta data za 2020 nakutaka
View attachment 1662887
Natak kuskia milio tu waka nafanya yangu umeskia we tuliza kend tu
Nilidhani ni Magufuli pekee kumbe na mfugale pia anapewa shavu, ss mbn hayo ni mambo madogo madogo yanakatishaje tamaa ss.Nchi yetu bana tuendelee tu kuipambania lakini kuna vitu vinafanyika vinakatisha tamaa. Kuna watu wengi tu wameitendea makubwa nchi lakini hawapewi kipaumbele. Leo huyo babu mfugale amekua kila kitu. Kwa nini wasingeita burigi national park ?
Achakuongea km mtot...na hii ni ngapiHio ni 2-level interchange. Sio 3 level
We nenda kwa watot wenzio...mana hata macho yko hayafanyi kz
Iyo ni mombasa
Unaongelea suala la kupokea abiria, jambo ambalo ni mkakati tu ukiweka vzr mambo yanajipa km tunavyofanya kwa ss.Nimekuambia JKIA pekee yake inapokea abiria wengi kushinda airport zenu zote
Tulizeni mishono basi😀 😉Hatunaga hizo pigo sisi, hata wao wenyewe wanajua


Kwmb 2-level km ya Pangani au coHio ni 2-level interchange. Sio 3 level



Private house ni nn? Tuanzie hapo kwanzaSijakuuliza mashamba. Mbona unabadili swali!? I asked you private houses.
Yaani Nyumba za makazi. Niwekee hapa kwa ushahidi mbona umeanza Julia lia kama mpumbavu!!!!
Hii Ni safi
Hahahaaaa nilijua tu utaleta ushuzi wa Mombasa, ss hyo ndo ufananishe na ile concrete jungle





Ushaanza taarabu, hahahahaa.Hawa jamaa usireason nao, wamekuja kutroll. Wewe pia troll ukipata nafasi.
asante kwa kuja mzee wa kudominate....Narudia tena in east and central Africa Kenyan companies dominate
Tanzania pekee iko na 529 Kenyan companies maswali mengi muulize magufuli
Wasije wakakudanganya mkuu, hzo picha zinapigwa upande upande, Kenya nzima ni uhalo wa slums.Hii Ni safi





Kisumu ingekuwa Tz,wah hatunge pumua humu😍Nasema tena dar ipo moja tena ya msaada, unapinga.View attachment 1662725
Si ndio hii hapa, ukibisha nakuletea full package






Pangani 3level interchange,,only in EA with underpassKwmb 2-level km ya Pangani au co![]()
Hii Ni 3times ya kariakoo😁Hahahaaaa nilijua tu utaleta ushuzi wa Mombasa, ss hyo ndo ufananishe na ile concrete jungle![]()