Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivyo Tanzania nyie hamna private companies kubwa? Ndio maana nimekuwa nikisema kuwa private sector ya Tanzania ni ndogo sana.
zipo METL n Bakhresa Group the largest in EA! then IPP Media Group, Infotech Investment Group, Azania Group, Mirambo holdings, motisun Group, Kamal group n so many! u have to refine ur knowledge in Finance especially on Investment area! U r mixing up things!
 
Huyo kweli pimbi.
JamiiForums1597528629.jpg
 
zipo METL n Bakhresa Group the largest in EA! then IPP Media Group, Azania Group n so many!
Kwa hivyo kwenye public sector serikali na halmashauri za kiserikali ndizo zinatumika kujenga uchumi wenu halafu kwenye private sector basi ni makampuni za wahindi na waarabu. Okay nimeelewa sasa.
 
Kwa hivyo kwenye public sector serikali na halmashauri za kiserikali ndizo zinatumika kujenga uchumi wenu halafu kwenye private sector basi ni makampuni za wahindi na waarabu. Okay nimeelewa sasa.
Tatizo lako ni wivu. Hao wote ni watanzania kijana. Halafu kumbuka Tanzani ipo na more than 100,000 private companies. Unatakiwa uheshimu hilo. Hahahaha unaumia sana kila kona tunakugonga tu.
 
Back
Top Bottom