Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na kinacho wauma zaidi ni kwamba kwasasa nchi yao ina madeni ya kufa mtu na kila kitu kinaendeshwa na mikopo..hawana Cash ya maendeleo hivyo hawawez hata kuota kununua ndege sio tu ndege kubwa hata bombardier....ukweli unauma
Ndege mbali kote huko!kunyaland walipofikia kujenga barabara ya km 1 lazima uhuru aruke europe kutembeza bakuli,nchi imefilisika ile
 
Maneno ya mkosaji.
Au jibu hii basi, Fumba town
Screenshot_20201230-111122.jpg
Screenshot_20201230-111248.jpg
 
Kubwa kuliko many of ur media as coverage ipo almost kila mahali Tanzania!
Imefikia Nation media group (NMG) au standard group (SG) kwa ukubwa? Geza unajua vizuri kuwa kampuni za media za Kenya ni kubwa sana na hizo mbili nilizotaja ni kubwa kimapato kushinda kampuni yoyote ya media ya TZ.
 
Back
Top Bottom