Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa la kupost maziwa 🤣🤣kaishiwa sasa kameingilia trolling, huyo niliwaambia ni meffi wakupuuzwa tu. 🤣
 
Tatizo lipo kwenye data? [emoji23] [emoji23] So you know better than your own government that collects that data? Mnachekesha sana
Tatizo la nyie watu mko na ujinga mwing sn....ivi unafikir serikal iamue kukusany data za maziw mnaweza hata kusogez vipua vyenu kwa Tz[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]...ww kaa kimya tu....ni sawa na wavyo sema Tz ina GDP 64+ Unafkir kuna ukweli?....kuna data nying mno serikal haij kusany vyema ...ndio mana kuna kipndi rais aliend kweny reserve moja ilikuw selou km sikosei akakuta bonge la hotel kulala tu ni 2+ mill kwa siku na hata TRA hawajui
 
IMG_1609167799.347112.jpg
 
Mbona likina swala utalii hatulii km nyie wakati kw idadi tumewashinda, mkiulizwa mnasema eti hidh-end tourism..

Sasa na hku sisi mambo na maziwa ni swala la quality, diary farming mnaijuli nyie wazembe..
Au unafikiria ni yale magombe magoloko ya mitaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ww usicho elewa nini kusu ubora na wingi kweny tourism...ila kwa milk huku Tz watu weng wana fany ufugaji wa kisasa
 
Taarifa inayotaja Tanzania mbele ya Kenya!? Wewe umeleta inayotaja Kenya ipo mbele ya Tanzania!? By evidence!?

And which company produces diary owned 100% by Kenya!!?

Je, does that Kenyan company produces organic milk or chemical!?

Jibu maswali hayo tuanze.
Usiruke ruke na fake statistics kujipoza.
Shifting goal posts again Kenya has many milk companies
Kenya produces more milk than Tanzania you can wail, rant that won't change the truth
 
Back
Top Bottom