Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnenguaji hujambo
FB_IMG_16035339691414034.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wako na stress sana,wana miradi ambayo kiuhalisia sio yao...kwa hali ilivyo sasa kama mimi ningekuwa mkenya...sijui...China hana huruma kbs bora mzungu duh.
 
Tatizo la nyie watu mko na ujinga mwing sn....ivi unafikir serikal iamue kukusany data za maziw mnaweza hata kusogez vipua vyenu kwa Tz...ww kaa kimya tu....ni sawa na wavyo sema Tz ina GDP 64+ Unafkir kuna ukweli?....kuna data nying mno serikal haij kusany vyema ...ndio mana kuna kipndi rais aliend kweny reserve moja ilikuw selou km sikosei akakuta bonge la hotel kulala tu ni 2+ mill kwa siku na hata TRA hawajui
Ndio maana kila siku nasema hampendi kusikia ukweli na pia mnapenda visingizio. Ni nini imezuia serikali yenu kukusanya data za maziwa? Iweje imeshindwa kukusanya data za maziwa lakini inajua data ya idadi ya watu Tanzania? And you want us to believe this narrative? Kwani kwa serikali yenu kuna baadhi ya data ni muhimu kuliko zingine? Look man, you look even more stupid going by the way you argue.

Kwa hivyo hadi hiyo data yenu kuhusu GDP pia ni fake? Kwa hivyo TBS leo wamekuwa waongo? 😂 😂 Unazidi kuchekesha walahi!! So hata world bank waliosema mko uchumi wa Kati hadi mkanengua viuno kidogo ziteguke pia ni waongo kuhusu hilo!! Look young man, you can't go around looking for flimsy excuses just to prove a point.
 
Ndio maana kila siku nasema hampendi kusikia ukweli na pia mnapenda visingizio. Ni nini imezuia serikali yenu kukusanya data za maziwa? Iweje imeshindwa kukusanya data za maziwa lakini inajua data ya idadi ya watu Tanzania? And you want us to believe this narrative? Kwani kwa serikali yenu kuna baadhi ya data ni muhimu kuliko zingine? Look man, you look even more stupid going by the way you argue.

Kwa hivyo hadi hiyo data yenu kuhusu GDP pia ni fake? Kwa hivyo TBS leo wamekuwa waongo? 😂 😂 Unazidi kuchekesha walahi!! So hata world bank waliosema mko uchumi wa Kati hadi mkanengua viuno kidogo ziteguke pia ni waongo kuhusu hilo!! Look young man, you can't go around looking for flimsy excuses just to prove a point.
Nothing but stupidity
 
Ndio maana kila siku nasema hampendi kusikia ukweli na pia mnapenda visingizio. Ni nini imezuia serikali yenu kukusanya data za maziwa? Iweje imeshindwa kukusanya data za maziwa lakini inajua data ya idadi ya watu Tanzania? And you want us to believe this narrative? Kwani kwa serikali yenu kuna baadhi ya data ni muhimu kuliko zingine? Look man, you look even more stupid going by the way you argue.

Kwa hivyo hadi hiyo data yenu kuhusu GDP pia ni fake? Kwa hivyo TBS leo wamekuwa waongo? 😂 😂 Unazidi kuchekesha walahi!! So hata world bank waliosema mko uchumi wa Kati hadi mkanengua viuno kidogo ziteguke pia ni waongo kuhusu hilo!! Look young man, you can't go around looking for flimsy excuses just to prove a point.
They Like pretending they know the bitter truth
 
Back
Top Bottom