Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Muite vyovyote lakini ni muwekezaji katoa ajira kwa watanzania thousands na analipa billions of taxes na ananunua malighafi kutoka kwa maelfu ya wakulima wa Tanzania, so?

Kwani Kenya mbona matajiri 7 kwenye topten ni wenye asili ya Asia? 😅😅😅

Tena hizi malls zote mnazoringia hapa ni zao na estates kibao, wasomali tu wanamiliki quarter of your whole economy 🌗😂😂😂
Tuongee na data sio mdomo mkavu, Kenya tuko top 5 foreign investors kwa nchi yenu , unapinga.
 
Does CNN is a statistics organization!? Or just a propaganda for Freemasons!?
Hebu usinichoshe. Niletee evidences raw material ya diary zinatoka wapi!?

Nyie hamfugi ng'ombe. Give me proof by evidences.
Unataka nikuletee pakiti ya maziwa hadi hapo kwako gongo la mboto au? Hiyo ndio evidence raw unataka? 😂 😂
What's your point btw?
 
Muite vyovyote lakini ni muwekezaji katoa ajira kwa watanzania thousands na analipa billions of taxes na ananunua malighafi kutoka kwa maelfu ya wakulima wa Tanzania, so?

Kwani Kenya mbona matajiri 7 kwenye topten ni wenye asili ya Asia? [emoji28][emoji28][emoji28]

Tena hizi malls zote mnazoringia hapa ni zao na estates kibao, wasomali tu wanamiliki quarter of your whole economy [emoji283][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuonyeshe wanachomiliki hao wasomali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuonyeshe data brookside walisitisha lini kupeleka maziwa tz

Sent using Jamii Forums mobile app



 
Nilishamwambia alete hata za ccm akaufyata[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watoto wa Mabibo hufurahisha kweli 😂 😂. Yani wanasisitiza while they can't even prove their points. Hata taarifa ya sisiemu au TBC hawana ya kuprove points zao na wanazidi kukataa evidence zetu. Funny creatures!!
 
Unataka nikuletee pakiti ya maziwa hadi hapo kwako gongo la mboto au? Hiyo ndio evidence raw unataka? 😂 😂
What's your point btw?
Kama umeshindwa kujibu maswali yangu. Nenda kanywe chang'aa
download (5).jpeg
download (4).jpeg
changaa-3a0ca883-9773-4dd1-a29f-56d1681ec3e-resize-750.jpeg
drnk_0.jpg
 
Hawa watoto wa Mabibo hufurahisha kweli [emoji23] [emoji23]. Yani wanasisitiza while they can't even prove their points. Hata taarifa ya sisiemu au TBC hawana ya kuprove points zao na wanazidi kukataa evidence zetu. Funny creatures!!
Hapo sasa, tena anagalau wangelikua hata na yale maneno ya majukwaani kutoka kwa wanasiasa ila bado hawana[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom