Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Now is time Mombasa is developing,,from roads to buildings and port,,mwakani kitaeleweka tu😁👏
Screenshot_20201202-205434.png
EqUWft2XUAEaXUl.jpeg
 
Ndio maana kila siku nasema hampendi kusikia ukweli na pia mnapenda visingizio. Ni nini imezuia serikali yenu kukusanya data za maziwa? Iweje imeshindwa kukusanya data za maziwa lakini inajua data ya idadi ya watu Tanzania? And you want us to believe this narrative? Kwani kwa serikali yenu kuna baadhi ya data ni muhimu kuliko zingine? Look man, you look even more stupid going by the way you argue.

Kwa hivyo hadi hiyo data yenu kuhusu GDP pia ni fake? Kwa hivyo TBS leo wamekuwa waongo? Unazidi kuchekesha walahi!! So hata world bank waliosema mko uchumi wa Kati hadi mkanengua viuno kidogo ziteguke pia ni waongo kuhusu hilo!! Look young man, you can't go around looking for flimsy excuses just to prove a point.
First stop calling me young men ,fool, second just because goverment provide data does not mean its accurate ,mfano serikali ilikuwa inatuaminisha makusanyo ya madini ni billion 100+ monthly for decade now, unaweza nambia imekuwaje currently ikashoot mpka 400+ bill? Serikali ilikuwa ina kusanya tax 800 bill per month sasa ni 1+ trill , je inamana izo hela ndio zimeanza kuja juzi kweny circulation ? The answer is no. It was there all long, it was matter of poor supervision
Issue ya middle income ,we were alread MIC way back 2017 ..fool , the currently announcement was just approval by WB
Mind you i dont say i disagree with the provided data i just argue because i use brain compare to you fool who play by the rules
 
Ndio maana kila siku nasema hampendi kusikia ukweli na pia mnapenda visingizio. Ni nini imezuia serikali yenu kukusanya data za maziwa? Iweje imeshindwa kukusanya data za maziwa lakini inajua data ya idadi ya watu Tanzania? And you want us to believe this narrative? Kwani kwa serikali yenu kuna baadhi ya data ni muhimu kuliko zingine? Look man, you look even more stupid going by the way you argue.

Kwa hivyo hadi hiyo data yenu kuhusu GDP pia ni fake? Kwa hivyo TBS leo wamekuwa waongo? Unazidi kuchekesha walahi!! So hata world bank waliosema mko uchumi wa Kati hadi mkanengua viuno kidogo ziteguke pia ni waongo kuhusu hilo!! Look young man, you can't go around looking for flimsy excuses just to prove a point.
Just put aside your emotionals, ask your self if your country has 100+ bill usd how come your gvt failed to pay your doctors, why turkana look the way its?, why you cant even finance and accomplish your SGR? The real quation is where those billions actually go? Why you dont even has a single billionaire or large numbers of millionaires in EA
This must tell you something
Screenshot_20201223-143905.jpg
JamiiForums-805347696.jpg
JamiiForums704776533.jpg
JamiiForums2048965383.jpg
Screenshot_20200726-140423.jpg
JamiiForums-278291200.jpg
 
Back
Top Bottom