Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ng'ombe wako wapi wkt dunia nzima inajua kwa Africa hii nchi yenye ng'ombe wengi ni Ethiopia inafatia Tz
😅😅😅 Nataka aje anioneshe haya maziwa yametoka kwa ng'ombe gani
Wanachezewa shede na uhuru wanafikiri ni wote wanaweza kuwa fooled kama wao 😅😅😅

EEaisfjX4AAtMJt.jpg
 
Kenya imeshinda Tanzania kwa milk production hyo ndio point
Yani hata unajiskiliza mwenyew? Ivi ng'ombe wengi wako Tz alfu maziw mengi muwenayo nyie? Narudia bongo data za maziwa hazijakusanywa vyema...wanachukua tu kwa wale wazalishaj wakubwa kama Tanga fresh, azam, asas na wengine...lkn kuna commoners wenye ng'ombe weng tu ila serikali haina data zao....so mnatushinda kwa kukusanya data sio kwa kiwango cha maziwa.
 
Back
Top Bottom