Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,791
Garage ya Ali Kiba ina gari kali kuliko ya huyo Mkikuyu wa mashamba ya kurithi!Facts ni kuwa Jeff anayo G wagon kwa miaka kadhaa sasa na Huyu Kiba ana G wagon ya kuhire.
Garage ya Ali Kiba ina gari kali kuliko ya huyo Mkikuyu wa mashamba ya kurithi!Facts ni kuwa Jeff anayo G wagon kwa miaka kadhaa sasa na Huyu Kiba ana G wagon ya kuhire.
Hahaha!!networth yake bei ya kiwanja westlandsHata diamond ni $ millionaire suala la alikotoka halina maana yyte...


Mzee mada km hizi achana nazo, unajoshusha bure..Garage ya Ali Kiba ina gari kali kuliko ya huyo Mkikuyu wa mashamba ya kurithi!
Hahaha!!achana nae mzee wa bando huyoMimi sina matatizo ya communication kama wewe. Mimi sio wa kuchezea hata kidogo. Mimi sio wale masikini wa Tandale unapoishi wewe. Mimi nina smart-phone ya 4G na pia nina Wi-fi kwa nyumba yangu.
Wacha nikupe evidence
View attachment 1659396
Kama uonavyo hapo juu kwa screen shot ya simu yangu, on the right side inasoma 4G. Na inasoma time ni 12:04.
Halafu muda huo huo nikazima 4G na kuwasha Wi-fi. Hebu tazama hapa chini kwenye screen yangu upande wa kulia utaona symbol ya wifi kumaanisha kwamba nimewasha wi-fi muda huo huo wa 12:04.
View attachment 1659399
Wi-fi yangu natumia kampuni ya internet provider inayoitwa liquid telecom na telecommunication provider wa 4G natumia Safaricom. Sasa endelea kusema kwamba niko juu ya mti nikitafuta network. Sio kila Mkenya wa kuchezea
Kwani umejibiwa wewe, waache wamalizane banaUbepari buana. Kwa hiyo ukiwa na 4G na hiyo WI-FI ndiyo uje utuoneshe hapa! Nuie watu hamuishiwi vituko. Ubepari umezama mpaka kwenye damu.


hatulipui sisi main structure will allow wagon ferries n big ships to pass underneath and dock at either Kigongo or Busisi! The EA longest 6 lanes 3.4 km bridge!Ata main structure haitazidi 5 m high🤣🤣
Wazo zuri sana. Mimi hudhani askari polisi anapaswa kupewa mafunzo ya muda mrefu (miaka mitatu) huku akipata mafunzo yafuatayo ambayo ni lazima afuzu;Hata huko Marekani polisi huwa wale wanafunzi walioanguka mtihani. Halafu wanapewa training ya miezi tatu na kupewa bunduki. Halafu bado tunashangaa mbona polisi huko wanauwa watu kiholela. Kwa maoni yangu polisi anastahili kuwa mtu aliyepita mtihani wa kidato cha nne. Mtu aliye smart kichwani. Sio hawa watu waliobeba ugali kama ubongo kichwani. Halafu training iwe ya mwaka moja sio miezi tatu au sita. Halafu wapewe training ya sheria. Polisi wengi sana hawajui sheria.
Haijalishi kila kitu kina bei mbonaHahaha!!networth yake bei ya kiwanja westlands![]()
Duh! Hizi pesa hizi!ivi showz za wasanii zmesharuhusiwa apo naii?
huyu gigymoney anatengeneza pesa kuliko avrilView attachment 1659609
Hahaha. Naona umesoma hio article niliyokuwekea ya Chief Mbiu Koinange ukafahamu kuwa Koinange ni jina kubwa.Garage ya Ali Kiba ina gari kali kuliko ya huyo Mkikuyu wa mashamba ya kurithi!
Huyo jamaa alikuwa anasema eti mimi napanda juu ya miti kutafuta network sasa ikabidi nimuonyeshe kuwa nina vidude ambavyo yeye hana.Ubepari buana. Kwa hiyo ukiwa na 4G na hiyo WI-FI ndiyo uje utuoneshe hapa! Nuie watu hamuishiwi vituko. Ubepari umezama mpaka kwenye damu.
We shall kill people with this. TZS667bln (VAT 100bln hivi). Hii ni pesa ya ndani. Hakuna gvt E.A inaweza fanya ka hii.The 3.2 km JPM bridge bttn Kigongo and Busisi
![]()
![]()
Ww ndio fala wa mwisho kabisa, ss Tshs 400 milioni we ndo unaona mpunga mrefu kutumia kwa gari au sio? Kweli Tanzania watu wanapesa aisee mana hyo pesa iliyomstua huyu dada wa kijaluo huku kwetu ni pesa ndogo tu kuspend kwa gari.Mzee mada km hizi achana nazo, unajoshusha bure..
Sasa km mtu gari moja limemgharaimu takriban ksh 20m mpka limfikie alafu we unakuja kuandika sijui nini hapa
We unachizika si bure, $200k ni pesa kidogo sana..santa sana dogo la kujitoa ufahamu, mamtoni tu hyo ni hela ndefu na wala sio kila mtu ana uthubutu huo itakuja iwe tanzaniaWw ndio fala wa mwisho kabisa, ss Tshs 400 milioni we ndo unaona mpunga mrefu kutumia kwa gari au sio? Kweli Tanzania watu wanapesa aisee mana hyo pesa iliyomstua huyu dada wa kijaluo huku kwetu ni pesa ndogo tu kuspend kwa gari.
Kwhyo bado mdogo sana mbele ya waumeHaijalishi kila kitu kina bei mbona
Punda na uvuvi lamu kwao nkm utamaduni, sasa ukiwa hko km hujui hvyo vitu viwili unaonekana mshamba..