ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
120m bridge thanks for render 🤣🤣🤣🤣
120m bridge thanks for render 🤣🤣🤣🤣
Nani anajisifu 4G🤣🤣🤣🤣Unajua Kuna watu Wapuuzi na Wajinga
Yaani Leo hii kuna mtu anajisifia 4G kweli
Au Wif
Nijisifu kuwa na 4G!!
View attachment 1659796
Expressway ni mradi wa ovyo?Wivu gani sasa hapo🤣🤣🤣 sisi hatuingizi mchi kwneye miradi ya ovyo
Ni kitu gani kinachokufanya udhani kuwa wasanii wetu kuchanganya kiingereza kwenye mashairi yao ni lengo la kufikia wakenya na Waafrika kusini? Ni nyinyi tu Ndio mnajua kiingereza dunia nzima? Our artists’ works reach people all over the globe! Hata nyimbo za Kiswahili zinapendwa na watu ambao hawaelewi lugha ya Kiswahili! Ndio Maana nasema kipaji ni kipaji! Achana na burudani ya Tanzania...shughulikia muziki wenu mbovu!Navy Kenzo wanachanganya ndimi. Hawaimbi kingereza tu. Lazima waimbe kiswahili japo kidogo tu ili malazy wawaelewe. Lakini wanaimba kiingereza kwa sababu ya market ya SA. Vanessa anaimba kingereza kwa sababu ya market ya Kenya. Lakini hata yeye pia anaimba kwa lugha zote mbili.
Router sio pesa nyingi ng'ombe wewe. Ukiwa na Ksh 6,000 yako unanunua router. Nyie ni washamba sana. Kwani unadhani kuwa na wi-fi kwa nyumba ni big deal? Watu wengi wanazo ndani ya nyumba na sio issue. Kenya sio Tanzania ambapo wi-fi mnaipata tu kwenye govt offices au University hostel. Hapa Kenya hata watu wa kawaida wana routers za wi-fi. Toeni ushamba hapa.yule mtu nilitaka ikifika usiku atume tena vile vitu.. nikaona ninyamaze tu! eti ana wifi yake.. akija mwambie afungue sehem ya wifi afu akuonyeshe jina la device ya wifi
Tatizo ni kuwa rais wenu anaogopa kupanda ndege. Hio kwa kiingereza inaitwa aerophobia.
Ni sawa. Wanaimba kwa kiingereza ili kutarget watu wa nchi nyingine ila sio Watanzania maana nyie hamuelewi kiingereza hata kidogo. Halafu nyimbo za Diamond na Kondeboy zinapendwa hata na watu wasioelewa kiswahili kwa sababu ya dancing nzuri iliyopo kwenye nyimbo hizo.Ni kitu gani kinachokufanya udhani kuwa wasanii wetu kuchanganya kiingereza kwenye mashairi yao ni lengo la kufikia wakenya na Waafrika kusini? Ni nyinyi tu Ndio mnajua kiingereza dunia nzima? Our artists’ works reach people all over the globe! Hata nyimbo za Kiswahili zinapendwa na watu ambao hawaelewi lugha ya Kiswahili! Ndio Maana nasema kipaji ni kipaji! Achana na burudani ya Tanzania...shughulikia muziki wenu mbovu!
wepi hao nchi ya wapanda punda?Router sio pesa nyingi ng'ombe wewe. Ukiwa na Ksh 6,000 yako unanunua router. Nyie ni washamba sana. Kwani unadhani kuwa na wi-fi kwa nyumba ni big deal? Watu wengi wanazo ndani ya nyumba na sio issue. Kenya sio Tanzania ambapo wi-fi mnaipata tu kwenye govt offices au University hostel. Hapa Kenya hata watu wa kawaida wana routers za wi-fi. Toeni ushamba hapa.
Wewe hata nashangaa mbona huna 5G. Wewe una pesa sana. Lakini pengine ni kwa sababu wewe ni muarabu. Lakini kama ungekuwa muafrika basi ungekuwa unaishi Tandale.Nani anajisifu 4G🤣🤣🤣🤣View attachment 1659823
Acha kuongea upupu na wwKoinange sio wakumfananisha na kiba wewe, unafikiria ku afford ni sawa na matunzo yake ya hilo gari..
Nimekuja kugundua kuwa wengi wenu hata hamuwezi kuimagine kuwa na wi-fi ndani ya nyumba. Kwani kuwa na wi-fi kwa nyumba ni jambo kubwa sana kwenu? Hamna liquid telecom au zuku huko? Wacheni ushamba jameni. Nunueni routers muwache kutumia bundles za kupimiwa kama dawawepi hao nchi ya wapanda punda?
Tanzania nzima hakuna mtu anaeelewa kiingereza hata kidogo? Ndivyo unavyosema sio? 😂😂😂 Mbona wasanii wa Kenya nao huimba kwa Kiswahili? Unataka kuniambia wanaimba kulenga soko la Tanzania zaidi ya nchi yao wenyewe?Ni sawa. Wanaimba kwa kiingereza ili kutarget watu wa nchi nyingine ila sio Watanzania maana nyie hamuelewi kiingereza hata kidogo. Halafu nyimbo za Diamond na Kondeboy zinapendwa hata na watu wasioelewa kiswahili kwa sababu ya dancing nzuri iliyopo kwenye nyimbo hizo.
Hivi siku nikipost picha yangu humu si utasema mimi sio Mtanzania kisa rangi na muonekano!Wewe hata nashangaa mbona huna 5G. Wewe una pesa sana. Lakini pengine ni kwa sababu wewe ni muarabu. Lakini kama ungekuwa muafrika basi ungekuwa unaishi Tandale.



watu weusi kama mafuta ya bunduki hawawezi kuelewa Watanzania wako fair!Hivi siku nikipost picha yangu humu si utasema mimi sio Mtanzania kisa rangi na muonekano!
Punguza ujinga wewe.
Walishazoea kubaguana ovyowatu weusi kama mafuta ya bunduki hawawezi kuelewa Watanzania wako fair!



Miaka 30 mulipe ushuru wa 600ksh per car hvi ww unafkiri ni mchezo au 🤣🤣🤣 yani unaonge just as a joke??? Unajua ni ajira ngapi mchina atazichukua na ni ushuru wa 600 ni nyingi sana kwa mkenya kwa miaka 30Expressway ni mradi wa ovyo?