Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna sehemu wameandika tatu bora ukipata tag me 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nye nye nye sisi matajiri sisi tuna GDP kubwa kuliko europe nzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe munanyea debeView attachment 1659333
Wewe huoni mnafata DRC na Nigeria Kuwa na idadi nyingi ya watu masikini wa kutupwa? Au macho yako uliazima mtu?
 
D6EDF35D-B7B0-4CBD-B76D-04074A086347.jpeg
 
Kwhyo watu wasife kisa kutabaki mayatima ambao labda huenda wakatelekezqa na familia zao kis auchumi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

We kweli hko sawa pande za juu
tatizo unadharau mayatima yaani akili yako imewaza kuwa mtu yatima ndiye mtu anayeishi na ufukara ,wakati wapo tena wengi tu wana good life.....

yaani ulivyonijibu hapo awali kama kwamba hapo nairobi au kenya kwa ujumla wanaoishi kwenye maisha magumu ni yatima pekee..

uache hizo mambo za kuchukulia poa yatima
 
Hao wanakuanga wale marejects. Wale ambao wamepata D+ ndio wanachukuliwa kuwa polisi. Sasa unategmea tabia gani kutoka kwa dumb-ass kama hawa.
Kweli bro Ila sio vizuri polisi watakiwi kuwa wanyama hivo hope all will be well😔
 
Kweli bro Ila sio vizuri polisi watakiwi kuwa wanyama hivo hope all will be well😔
Hata huko Marekani polisi huwa wale wanafunzi walioanguka mtihani. Halafu wanapewa training ya miezi tatu na kupewa bunduki. Halafu bado tunashangaa mbona polisi huko wanauwa watu kiholela. Kwa maoni yangu polisi anastahili kuwa mtu aliyepita mtihani wa kidato cha nne. Mtu aliye smart kichwani. Sio hawa watu waliobeba ugali kama ubongo kichwani. Halafu training iwe ya mwaka moja sio miezi tatu au sita. Halafu wapewe training ya sheria. Polisi wengi sana hawajui sheria.
 
Hata huko Marekani polisi huwa wale wanafunzi walioanguka mtihani. Halafu wanapewa training ya miezi tatu na kupewa bunduki. Halafu bado tunashangaa mbona polisi huko wanauwa watu kiholela. Kwa maoni yangu polisi anastahili kuwa mtu aliyepita mtihani wa kidato cha nne. Mtu aliye smart kichwani. Sio hawa watu waliobeba ugali kama ubongo kichwani. Halafu training iwe ya mwaka moja sio miezi tatu au sita. Halafu wapewe training ya sheria. Polisi wengi sana hawajui sheria.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom