Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar ya sasa inasikitisha yaani over 5 years now hii ndio crane pekee kuashiria hiyo structure inaweza kuwa above 15 floors,huu sasa ndio uchumi wa makaratasi
Road infrastructures pekee ndio mumejikakamua.Very sad
That is 21floors 🤣🤣🤣🤣 na nikupe taarifa density ya dar kimajengo ni sawa na nairobi 5 mark my words, unazungumzia road infastructure ila huzungumzii mengine kama hrdro dam of 3b usd cost, huzungumzii dodoma inajengwa kila kona wewe
 



EpnLe9VW8AIVZye



EpnLfMOXUAIiNCW
 
That is 21floors 🤣🤣🤣🤣 na nikupe taarifa density ya dar kimajengo ni sawa na nairobi 5 mark my words, unazungumzia road infastructure ila huzungumzii mengine kama hrdro dam of 3b usd cost, huzungumzii dodoma inajengwa kila kona wewe
Tuko Dar vs Nairobi hiyo Dom peleka kwa Thika huko na kuna uzi wake
 
Hahaaa!!wengine hapo ni wale omba omba wenu, wanakuja kenya kulala kw streets mambo yanapokua magumu..

Kisha nashangaa mtu mzima na akili zake anafurahia watoto wadogo ambao ni homeless, kweli wenye roho za kichawi hawatokuja kuachwa salama pande zile za pili walai..

Mtu unawakejeli watoto ambao hawana familia na wala hawana pa kwenda jamani
Tz baba kawa mngonjwa tu watoto wakala kinyesi itakuja kua homeless mitaani, we hujui maisha itakua
hao watz mnaowasema kila siku fukuzeni wote wote maana huku kwao mbona hayo maisha hayapo....

muache propaganda,,hayo ni maisha ya kenya na hao ni wakenyabwenzenu usitake kuwakataa kwa kuwatengenezea tabaka ,,hao wote ni wakenya
 
Kisha uwe na adabu ndiposa ujifunze yatima asiyekua na familia wala pa kwenda..

Hujui kesho yako we bwege, mnafikiria kila kitu ni kufurahia tu
adabu ninazo tena za kutosha kukushinda wewe...

kinachonisikitisha nchi tajiri kama kenya kuwa na wingi wa umaskini kama huo ,huwa inanipa shaka sana inaonyesha ni jinsi gani uchumi wa kenya haupo kwa wakenya ila upo kwa foreigmers ,,,na hata wakenya wanaoumiliki huo uchumi ni wachache...

msiwe mnajitamba ovyo angali maisha bado ni tete,,na leo pita hapo ukawasaidie ndugu zako hata pesa kidogo..
 
Back
Top Bottom