Tanzania has 5553 ultra high net worth individuals while Kenya has 2900. Dar is the commercial capital of TZ. Hypothetically, if 2/3 (two thirds) of all millionaires in Tanzania reside in Dar es Salaam then Dar is home to more dollar millionaires than the whole of Kenya (3702 Vs 2900). Kuna watu walikuwa wananasema Mombasa ina dollar millionaires wengi kuliko DarHere are some facts you should ponder before making any ashaming statements. Anyway... tusherehekee kuwa TZ is the home of the rich.
View attachment 1657500





Hilo Paja Mkuu noma sana.Ndiyo maana huwa nawaambia hawa wakunya kwamba maendeleo siyo maghorofa na barabara za Nairobi tu. Tz tunajitahidi kuwekeza kwenye social services katika kila sector ya maisha kila mkoa, na wilaya na ushahidi huwa tunawakea humu humu jf lakini wao wamebaki kupost vipicha vya maghorofa ya Nairobi tu. 😀 😀 😀
Orthodox primary schoolmiddle funza oneni maajabu

Tukumbushane kidogo, wakuu tafuteni og pic ya hii photo
View attachment 1657562
KWA HISANI YA MAGUFULI
Hii shule iko nchi gani? Somalia au??it’s 2021 short of only 8 days.. and still shule zao zipo hiv?
View attachment 1657570View attachment 1657571View attachment 1657572View attachment 1657573View attachment 1657574
Hahahha yani nyie ni fukara mlio pitilizaMnaongoza ukanda huu kulingana na report za world bank



Inamaana hujui iko wapi au mpaka utuaibishe 👇👇👇Hii shule iko nchi gani? Somalia au??
Ranking is not done on YouTube. Bongolala
World Bank wanajua wafukara wanapatikana wapi hapa Africa. Usilazimishe tufananeHahahha yani nyie ni fukara mlio pitiliza![]()
Kalale uko fukara nyie kuanzia kichwa mpka miguu....pita kule mafurafura nyieWorld Bank wanajua wafukara wanapatikana wapi hapa Africa. Usilazimishe tufanane View attachment 1657598
Ushabiki Ni kitu mbaya jamani. Hawa basi, kwa vile ukibahatika kuona balance sheet ya ATCL, walitengeneza faida ya shilingi ngapi?Ila hapa Uganda iwe makini sana, maana kwa TZ mpaka sasa ATCL inatengeneza mapato yake mengi kutokana na Local flights kwani TZ kuna viwanja vingi na movement za watu ni kubwa kutoka mkoa kwenda mkoa...nilibahatika kuona balance sheet ya ATCL yaan frequencies za local flights is super good ambazo zinatengeneza asilimia kubwa ya mapato ya ATCL kwa sasa ivyo ATCL inazidi kutengeneza mizizi yake ndani ya nchi na baadae kwnda nje ya nchi ila nyumbani tunakuwa tayar tumejenga soko zuri yaan local flights. Na hapa ndipo tunaipiga bao Kenya airways na Rwanda airways kwani wao wanategemea sana international flights na ndani ya nchi zao biashara ya local flights kwa hayo mashirika yao almost hamna kitu kwani viwanja ni vibovu na sehemu nyngne hakuna viwanja kabisa.
Hawa jamaa wanatuaibisha sana waafrica.it’s 2021 short of only 8 days.. and still shule zao zipo hiv?
View attachment 1657570View attachment 1657571View attachment 1657572View attachment 1657573View attachment 1657574
Feelings peleka Gongolamboto. Please give us figures za Kenya so that we compare notes. Za Tanzania ni 28 million peopleKalale uko fukara nyie kuanzia kichwa mpka miguu....pita kule mafurafura nyieView attachment 1657601View attachment 1657602View attachment 1657603View attachment 1657604
tena wao wamejikusanya wapo zaidi ya watatu ila yetu mmoja tu kawavua chupi tiyar......wakenya hawana akili wanaleta vitu ndogo ndogo ambazo ni normal ishu anakuja kulinganisha na KODTECLOL kumbe ni just forwarders
Sa mbona hayo mambo ya kawaida sana kwa Tanzania diaspora
Serengeti freight inayomilikiwa na mtanzania ni kubwa kuliko hicho kituko cha Kenya komora096
View attachment 1657605View attachment 1657606



