ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Nani alisema Eric omondi si mcheshi,,cheki hii advert, really he is the king of comedy in Africa 🤣🤣👏
Huyu nae anachekesha nn hebu kua serious kidogo🤣🤣🤣
Nani alisema Eric omondi si mcheshi,,cheki hii advert, really he is the king of comedy in Africa 🤣🤣👏
namuona kamanda miguu juu...
imekaa kihuni sanaila kuna lecture Hall inabidi waweke madirisha!
![]()
Ikinyesha ya upepo darasa linasimama!
nani kakudanganya,,,hizo link zenu za uwongo tupa kule...With 28 million extremely poor souls in Tanzania unasema hamna issue?![]()
@komora096 je hao nao ni yatima...?That is bitter truthjust swallow the pills, you will never ever see some like this in TzView attachment 1658368View attachment 1658369
kabisa huyo ni kichaa ila ataelewa tuUsinilete uchizi ni wapi wamesema Tz iko mbele ya kunya au skuizi kuambiw among 8 manake imekuwa ya nane....ujinga unao mwingi ww
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂namuona kamanda miguu juu...
swadakta angekuwa karibu ningemtwanga Kilimanjaro 5 chap za bariiiidi
How desperate! World Bank wakisema mmetoka LDC ni wazuri kuliko wote. The same World Bank wakisema mnaongoza ukanda huu kwa umasikini wa kutupwa sasa wamekuwa waongo!! Kwa kweli mnatia huruma 😂nani kakudanganya,,,hizo link zenu za uwongo tupa kule...
maisha mabovu zaidi yapo kenya mwenzako anasingizia yatima
Kweli kabisa ila linaonekana kama occasional artistic theater labda.ila kuna lecture Hall inabidi waweke madirisha! 👇
![]()
Ikinyesha ya upepo darasa linasimama!
Hayo ni matokeo ya kupikwa na mabeberu bro🙂
Kwani waliosema nyinyi muko kundi la extreme poverty ni nani ??🤣🤣🤣How desperate! World Bank wakisema mmetoka LDC ni wazuri kuliko wote. The same World Bank wakisema mnaongoza ukanda huu kwa umasikini wa kutupwa sasa wamekuwa waongo!! Kwa kweli mnatia huruma 😂
Hao ni matajiri@komora096 je hao nao ni yatima...?



ajira milion nane kwhyo hamna tenaTuonyeshe hata 1%nitakubutua .....
ila nakuhurumia maana hata ulivyoandika umejishtukia ,sababu umeandika kitu ambacho unakijua



Njoo nikutembeze ukajione vijana wanavyiteseka kisa kuja kuomba omba mwisho wa siku maisha yanakua magumuhao watz wametokea wapi....?
Kwhyo watu wasife kisa kutabaki mayatima ambao labda huenda wakatelekezqa na familia zao kis auchumiushuku usishuku potelea mbali,,
ila hao chokoraa ni kipimo kinachoonyesha hali halisi ya nchi yenu kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja yapo vip...
ila vip kuhusu wale walio turkana na maeneo mengine.....
je wale nao ni yatima...?


