ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Dodoma utaiweza wewe 🤣🤣🤣🤣🤣 👇👇👇👇👇👇Tuko Dar vs Nairobi hiyo Dom peleka kwa Thika huko na kuna uzi wake
Siku ukipata density ya majengo kama hii kokote kenya unitag mm 🤣🤣👇👇👇
Dodoma utaiweza wewe 🤣🤣🤣🤣🤣 👇👇👇👇👇👇Tuko Dar vs Nairobi hiyo Dom peleka kwa Thika huko na kuna uzi wake
Siku ukipata density ya majengo kama hii kokote kenya unitag mm 🤣🤣👇👇👇
hao washikaji wanao bang nimependa yaani wanaenjoy kivyao





anatoka nduki kazi imemshinda huyo
taratibu wanasomeka tu kwenye ramani...
hamna ishu hapoMwaka wa pili?![]()
![]()
Is that how you console yourselves? Bongolala, hii ni ripoti ya October mwaka huu(2020). Mtatafuta pa kutokea ila hamtapata
This is the link
huwa wamepumbazwa kuwa watz wamelala..
huyo afande ni balsa ana speed zaidi ya chita kwa mujibu wa data base ya KDF jeshi bora dunianiKDF ni mdebwedo sana,yaani wanakimbia pundamilia(zebra)..!!??!..sasa wakikutana na mnyama
si wataharisha..
Ila nawasifu KDF kwa mbio,wako vizuri,hata mujahdeen walipovamia kambi yao kule lamu KDF walitoka mbio,wakatokomea machakani,wakawaacha wamarekani wapambane peke yao,nahisi mbio ni talanta wamepewa wakenya..ona huyo afande anavyokimbia..
Uchumi na watoto homeless wapi na wapi jomba, mbna unajito ufahamu kihivi leo yani mpka nashuku uwezo wako wa kungamua vitu walaiadabu ninazo tena za kutosha kukushinda wewe...
kinachonisikitisha nchi tajiri kama kenya kuwa na wingi wa umaskini kama huo ,huwa inanipa shaka sana inaonyesha ni jinsi gani uchumi wa kenya haupo kwa wakenya ila upo kwa foreigmers ,,,na hata wakenya wanaoumiliki huo uchumi ni wachache...
msiwe mnajitamba ovyo angali maisha bado ni tete,,na leo pita hapo ukawasaidie ndugu zako hata pesa kidogo..
Naona uneanza kukimbilia kw foreigners, tuonyeshe hao foreigners ambao wanamiliki hata robo ya uchumi wetuadabu ninazo tena za kutosha kukushinda wewe...
kinachonisikitisha nchi tajiri kama kenya kuwa na wingi wa umaskini kama huo ,huwa inanipa shaka sana inaonyesha ni jinsi gani uchumi wa kenya haupo kwa wakenya ila upo kwa foreigmers ,,,na hata wakenya wanaoumiliki huo uchumi ni wachache...
msiwe mnajitamba ovyo angali maisha bado ni tete,,na leo pita hapo ukawasaidie ndugu zako hata pesa kidogo..
Hayo ni matokeo ya kupikwa na mabeberu bro🙂Endelea kujifurahisha hku kwenu mkiongoza EAView attachment 1657620
Watz kw streets wa tele, hilo ukitaka pinga mpka kiama lkn wala haitobadilisha chochote kile mitaani..hao watz mnaowasema kila siku fukuzeni wote wote maana huku kwao mbona hayo maisha hayapo....
muache propaganda,,hayo ni maisha ya kenya na hao ni wakenyabwenzenu usitake kuwakataa kwa kuwatengenezea tabaka ,,hao wote ni wakenya
Bado inachapa faida
The only reason, we are together on that list is because of using usd as a standard but for sure you know your money is trush as far as ppp is concern, when compare our poorest person against yours ,ours is ten times betterMwaka wa pili?![]()
![]()
Is that how you console yourselves? Bongolala, hii ni ripoti ya October mwaka huu(2020). Mtatafuta pa kutokea ila hamtapata
This is the link
Hawaje? 😆hao washikaji wanao bang nimependa yaani wanaenjoy kivyao