Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Akothee anakulisha kuanzia wewe mpka na ukoo wako wote
Mafukara nyie mbona asilishe hawa....funga tu bakul
JamiiForums704776533.jpg
JamiiForums1690919998.jpg
JamiiForums2048965383.jpg
 
unadhani hiyo kampuni ina ishu yaani ni zile kampuni za clearing & fowarding ambazo zipo kibao kwenye masuala ya transiportation cargo.......
yaani nimecheka sana leo huyo mrembo mama kayayii katoa kali ya mwaka...

yaani kampuni inayojihusisha na mambo ya electronics anakuja kucompare na vitu ndogo ndogo za transiportation....ni ukichaa wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom