Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Toa jina la kampuni ...mbona kelele kama dem ?Mbona umepanic sana hvi jamani, si nikikupiga nondo ingine unakimbia humu
Toa jina la kampuni ...mbona kelele kama dem ?Mbona umepanic sana hvi jamani, si nikikupiga nondo ingine unakimbia humu
Mafukara nyie mbona asilishe hawa....funga tu bakulAkothee anakulisha kuanzia wewe mpka na ukoo wako wote




Fanyafanya michakato basi mkuu, umekua msaada wetu mkubwa kwenye hili 😁Angesogea nyuma kidogo na daraja liwe kwenye frame angeuaa kabisa.
😅😂😂 Sasa huyu mtanzania anaemiliki University US asemeje? komora096tena wao wamejikusanya wapo zaidi ya watatu ila yetu mmoja tu kawavua chupi tiyar......wakenya hawana akili wanaleta vitu ndogo ndogo ambazo ni normal ishu anakuja kulinganisha na KODTEC![]()
Endelea kujifurahisha hku kwenu mkiongoza EAMafukara nyie mbona asilishe hawa....funga tu bakulView attachment 1657611View attachment 1657612View attachment 1657613
Sio kazi yangu kukulisha kila kitu kamulize uruto atakwambiaFeelings peleka Gongolamboto. Please give us figures za Kenya so that we compare notes. Za Tanzania ni 28 million people
we waache tu waendelee kujifurahisha....kenya ni zeroo kabisa
Mafukara nyie hamna jipya...endelen kushangilia floating bridge ya kikunya, wakati shule ndio hiziEndelea kujifurahisha hku kwenu mkiongoza EAView attachment 1657620







usituguse kabisa.....Endelea kujifurahisha hku kwenu mkiongoza EAView attachment 1657620





Naona bado mnaendelea kujifariji tu, we unafikiria kuendesha trucks mia tatu tena marekani ni sawa na kula chipsi zege hapo temeke..
Mko top5Sio kazi yangu kukulisha kila kitu kamulize uruto atakwambia


kuendesha tu,,,,,,ni simple deal.......Naona bado mnaendelea kujifariji tu, we unafikiria kuendesha trucks mia tatu tena marekani ni sawa na kula chipsi zege hapo temeke..




Angalia video acha uzembe, chams media sio zile media zenu za umbea..Toa jina la kampuni ...mbona kelele kama dem ?
Bado sanaLOL kumbe ni just forwarders
Sa mbona hayo mambo ya kawaida sana kwa Tanzania diaspora
Serengeti freight inayomilikiwa na mtanzania ni kubwa kuliko hicho kituko cha Kenya komora096
View attachment 1657605View attachment 1657606



Bado haibadilishi km nyie ndio mnaongoza ukanda huuHahahha yani nyie ni fukara mlio pitiliza![]()



Unafikiria kumiliki trucks mia tatu ni sawa na kutengeza viredio


