Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa hiyo yatima wapo kenya tu....?

sababu ya uyatima ndiyo walale kwenye nguzo za fly over...

usinichekeshe mie
Hahaaa!!wengine hapo ni wale omba omba wenu, wanakuja kenya kulala kw streets mambo yanapokua magumu..

Kisha nashangaa mtu mzima na akili zake anafurahia watoto wadogo ambao ni homeless, kweli wenye roho za kichawi hawatokuja kuachwa salama pande zile za pili walai..

Mtu unawakejeli watoto ambao hawana familia na wala hawana pa kwenda jamani
Tz baba kawa mngonjwa tu watoto wakala kinyesi itakuja kua homeless mitaani, we hujui maisha itakua
 
kwa hiyo yatima wapo kenya tu....?

sababu ya uyatima ndiyo walale kwenye nguzo za fly over...

usinichekeshe mie
Kisha uwe na adabu ndiposa ujifunze yatima asiyekua na familia wala pa kwenda..

Hujui kesho yako we bwege, mnafikiria kila kitu ni kufurahia tu
 
Wacha kabisa mkuu, tunajishusha kuweka battle na failed state km Kenya, hii co ligi yao kabisa, washidane na failed wenzao kina Somalia, DRC, n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo Bongo ilishatoka LDC ila hawa wakulungwa wapo Failed state forever? Nakumbuka miezi kadhaa nyuma ukiwaambia hivyo wanasema na nyie mtatoka lini LDC? .
Mwaka huu Bongo Imepangua mengi sana

Usd Dollar Millionaires
Electricity
Tupo MIC
Internet kwa wote
Imebaki wimbo mmoja tu GDP
 
Zanzibar as we speak 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Ep-ZsLhXUAYS51W.jpg
Ep-ZsLgXEAAM5lI.jpg
Ep-ZsLmXIAI9j7O.jpg
Ep-ZsLrXYAE-Gna.jpg
 
Kwa hiyo Bongo ilishatoka LDC ila hawa wakulungwa wapo Failed state forever? Nakumbuka miezi kadhaa nyuma ukiwaambia hivyo wanasema na nyie mtatoka lini LDC? .
Mwaka huu Bongo Imepangua mengi sana

Usd Dollar Millionaires
Electricity
Tupo MIC
Internet kwa wote
Imebaki wimbo mmoja tu GDP
Waendeleee kuzungumzia GDP yenye madeni zaidi ya 86% 🤣🤣
 
Kwa hiyo Bongo ilishatoka LDC ila hawa wakulungwa wapo Failed state forever? Nakumbuka miezi kadhaa nyuma ukiwaambia hivyo wanasema na nyie mtatoka lini LDC? .
Mwaka huu Bongo Imepangua mengi sana

Usd Dollar Millionaires
Electricity
Tupo MIC
Internet kwa wote
Imebaki wimbo mmoja tu GDP
Ndiyo kitu pekee kinasaidia kuwaongezea umri wa kuishi humu jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom