Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unafananisha au 🤣🤣🤣👇👇👇
7B5DC11B-35FF-4710-B5AE-1DFF8FA3D41F.jpeg
 
Ww fukara usinifanish ...huyu sindio wf wako na haya ni makazi yenu...huwrz kuta Tz ufukara wa style hiii....wajinga kabisa nyie mko buzy na nirobarry express way wakat watatumia wenye hela ..nyie wa free wifi mejazan uku kutamba aisee...mnastahil vibok ving vile vya wachina havitoshView attachment 1657710View attachment 1657711
Truth hurts always
PhotoGrid_1605162481588.jpg
 
nakwambia hii mtaitembeza hadi mtachoka,huu ni mwaka wa pili sasa bado mnataarifa hiyo hiyo tu

wenzenu wanawaza mbele nyie mnawaza nyuma akili zenu zime stuck wakati mambo yanabadilika
Mwaka wa pili? 😂 😂 😂 Is that how you console yourselves? Bongolala, hii ni ripoti ya October mwaka huu(2020). Mtatafuta pa kutokea ila hamtapata
This is the link
 
View attachment 1658084askari wa Kenya(KDF) bwana😂😂
KDF ni mdebwedo sana,yaani wanakimbia pundamilia(zebra)..!!??!..🤣🤣 sasa wakikutana na mnyama 🐯🐯 si wataharisha..


Ila nawasifu KDF kwa mbio,wako vizuri,hata mujahdeen walipovamia kambi yao kule lamu KDF walitoka mbio,wakatokomea machakani,wakawaacha wamarekani wapambane peke yao,nahisi mbio ni talanta wamepewa wakenya🤣🤣..ona huyo afande anavyokimbia..
 
Back
Top Bottom