Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maana yangu ni kwamba watu wakiwa wanaongea vitu serius usilete jokes.

Unatembeleaje kwenu si jina ndo ilo wamekupa Mombasa.
Rudi tena uka google vizuri wakupe na jina la hicho kijiji, nipo serious nataka niende nikatoe msaada hko..

Na wewe utapata fungu kubwa sana ukinirahisishiwa kw kuwauliza vizuri hao majamaa km hapo panaitwaje
 
Ai mombasa kwani hujaona pale wameandika mombasa unajifanya kama hupajui vile!!! Acheni maneno ya JF wakati ground ndo ivi.
Fishing village mombasa. 2019.

20201220_223948.jpg

Rudi tena uka google vizuri wakupe na jina la hicho kijiji, nipo serious nataka niende nikatoe msaada hko..

Na wewe utapata fungu kubwa sana ukinirahisishiwa kw kuwauliza vizuri hao majamaa km hapo panaitwaje[emoji1
 
Rudi tena uka google vizuri wakupe na jina la hicho kijiji, nipo serious nataka niende nikatoe msaada hko..

Na wewe utapata fungu kubwa sana ukinirahisishiwa kw kuwauliza vizuri hao majamaa km hapo panaitwaje
Fungu kubwa kunipa mimi??

Kwanza umekula leo. Maana nyie kwenu chakula ni mtihani kupata..
 
Fungu kubwa kunipa mimi??

Kwanza umekula leo. Maana nyie kwenu chakula ni mtihani kupata..
Nitafutie jina basi kutoka hko ulikokitoa hicho kijiji
Fungu lako bado liko pale pale usijali, na ukifanya kweli nitumie no.yako pm nikuwekee ksh 5k bila kupepesa
 
Back
Top Bottom